Jana Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini G lema na makamanda wengine wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara katika jimbo la Chato na kupokea wanachama na Makada muhimu wa CCM na wakati wanarejea safarini kurudi Mwanza gari lao liolizuiwa njiani pale Katoro na wananchi akiombwa kufanya mkutano hapo lakini alisema isengewezekana kwani kibali kilikuwa hakuna , hata hivyo makamanda leo wanaelekea ,Magu ambapo kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara "vua Gamba Vaa Gwanda"