Ranks
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,583
- 1,097
sixgates atakuwa alitaka kuandika upuuzi wake kuhusu uwasilishwaji wa habari..... roho inamuuma sana
Mkuu hawa watu wamechanganyikiwa,si unaona wengine wanaibuka humu mkekani na hoja za udini na nyingine ziso mashiko utadhani yakiibuka machafuko wao watabaki salama.,Wanadhani ccm inaweza wachagulia(waamulia) watanzania nani ama chama gani kishike hatamu!!!Mh,lakini kiukweli waliodata zaidi ni hawa waliotoka kambini na kwenda ugambani kama huyu mageti sita.
Last edited by a moderator: