Ccm wana hali mbaya sana wanamfikiria lowassa wakati huwo huo cdm washachanganyikiwa hawajuwi la kufanya kabidhini nchi sasa mmekuwa mzigo hata wenyewe kwa wenyewe
Katika kile kinachoonekana ni hofu ya Operesheni ya CHADEMA nchi nzima almaarufu kama M4C-OPD ambayo pamoja na mambo mengine imekua ikimnanga raisi kikwte na vijisafari vyake vya nje visivyokuwa na tija na zaidi kuisukuma serikali ifanye maboresho ya daftari la kupiga kura, Rais Kikwete ameamua kuukacha mkutano wa viongozi wa Afrika mjini Adis na kutulia nyumbani .
M4C - OPD imemfanya Kikwte atambue kuwa ana waziri wa mambo ya nje na hivyo kuamua amuwakilishe kwani huko nyuma raisi huyu alikua akihudhuria mikitano hata hata kama ni ya mabonanza.
Zaidi, baada ya kushindwa kuhimili kishindo cha M4C-OPD teyari serikali kupitia tume ya uchaguzi imetangaza kufanya maboresho ya daftari la kudumu la kupiga kura kabla ya kuanza kwa kura ya maoni ya katiba mpya. Ajenda mojawapo na kubwa ya M4C -OPD ni kuishinikiza serikali kufanya maboresho ya daftari la kudumu la mpiga kura tofauti na hapo hakitaeleweka.
M4C-OPD mpaka kieleweke.
Angalia msije mkawa kama Yanga ambao ni mafundi zaidi wa kucheza mpira kwenye magazeti kuliko uwanjani.Msimu wake utausha October 30 2015 baada ya kuhakikisha Magamba yamezikwa