Nimeiona hii na mtangazaji aliiacha iende hewani bila kinyongo. Wengine wakiimba mwizi...mwiziiii.....
Nimeiona hii na mtangazaji aliiacha iende hewani bila kinyongo. Wengine wakiimba mwizi...mwiziiii.....
mmiliki wake ni chadema kwa asili .
Hii inasikitisha kwa wanaotegemewa kutoa haki ndiyo wapindisha haki wakubwa kwa visingizio vya sheria...wakati unakuja mafisadi mpaka wa sheria watakosa pa kuficha sura zao...nakwambia si mbali. Mpendazoe kashindiwa mahakamani lakini wananchi wanamjua mbunge wao. Jipe moyo Mpendazoe wakati wa haki kusimama umekaribia sana.
Baada ya hukumu ya Jana iliyo waacha wananchi wengi kwenye majonzi ilishangaza pale wananchi walivyoanza kumzomea aliyetangazwa kuwa ni mshindi ndugu Mahanga fisadi! Fisadi! Mwizi! Mwizi Huku akiwa anakimbilia kwenye gari akatokomea kwa mwendo wa ajabu. Mimi nilikuwa nafikiri madikteta wanakuwa Marais tu Kumbe hata wabunge? Sijui huko bungeni anawakilisha watu gani
Nimesoma hiyo taarifa kwenye gazeti la mwananchi la leo.Ama kweli watanzania wameamka
Nimesoma hiyo taarifa kwenye gazeti la mwananchi la leo.Ama kweli watanzania wameamka