M4c kweli imepata kasi ya kutosha arusha

Mr EWA

JF-Expert Member
Mar 15, 2007
331
64
Katika hali ambayo haikutarajiwa wanawake ambao siku zote wamekuwa wakipokea kanga na kofia kipindi hiki wamegoma na kusema hawatachukua kanga wala kofia na kuamua kuanza kuvaa mavazi yenye rangi za chadema,scarf za chadema na wamenda mbali hata rangi za kupaka kucha zao pia ni rangi ya chadema full.Wanasema hii ni Arusha hakuna kurudi nyuma hata kidogo mpaka kieleweke.
 
Duh Arusha kweli noma, nasikia mtu kama kavaa kofia, fulana au skafu ya Ccm makonda hawamchukui Wala mtu huyo hapati baadhi ya huduma muhimu za kijamii!!. Big up, mafisadi lazima tuwatenge na hii ni namna moja wapo. Kazeni buti makanda.
 
Hapa A town scarf au kofia za chadema hizo ndizo zinavaliwa kwa kasi kwa sasa na huwezi vaa za chama kingine kwani itakula kwako jumla.
 
Habari hiyo mbeya ilikuwa uchaguzi wa 2010 ccm ni aibu mbeya! Ilikuwa Ukitaka wakuachie gari vaa magamba!
 
Azimio la Arusha CHADEMA limeanza na inatakiwa siku ya kulisimika na kweli litazaa matunda,walo karibu na Lema wamwambia au mwenye mawasiliano yake anijuze ili kazi ianze bila hofu.Penye nia pana njia.
 
Azimio la Arusha CHADEMA limeanza na inatakiwa siku ya kulisimika na kweli litazaa matunda,walo karibu na Lema wamwambia au mwenye mawasiliano yake anijuze ili kazi ianze bila hofu.Penye nia pana njia.

wasiliana nae +255764150747
 
Katika Jambo ambalo nimejifuza ukiwalazimisha wananchi wafanye kile unachohitaji itafika mwisho wananchi hao watakuambia sasa hapana.Wananchi wa Arusha kwa sasa wamekataa kuburuzwa tena.
 
Back
Top Bottom