Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Hii ni moja ya challenge zinazoikabili chadema kama wapambanaji wakuu wa ufisadi na nguzo kuu katika matumaini ya ukombozi mpya kwa watz. Tafadhali wasemaji wa chama kama haiwezekani kuweka hapa jf walau sehemu ya majibu basi myaweke kwenye website yenu yawe public hasa swali la pili la mzee