M4C lini itakwenda Zanzibar?
M4C Itakwenda, siku CUF na CCM wakioana rasmi kama TANU na ASP walivyofanya
M4C lini itakwenda Zanzibar?
hii historia lazima ijirudieM4C Itakwenda, siku CUF na CCM wakioana rasmi kama TANU na ASP walivyofanya
M4C Itakwenda, siku CUF na CCM wakioana rasmi kama TANU na ASP walivyofanya
Swali ni lini itakwenda Zanzibar?
lushoto,korogwe, kilindi ,handeni ,pangani,muheza ,na huku ndio uchumi wa tanga ulipo ,na tayari wameonyesha dalili za kuitaji mabadiliko tena ya haraka.
njoo turudie hii survey.karibu Tanga maeneo ya Tanganyika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
must be something wrong here in jf .i feel corrupt to the owners nowdays ,we have to move out here ,anyway jingalao nitakuja tanga nikifika nitakujulisha
Kwa muda wa mwezi mmoja nimekuwepo jijini Tanga ,pamoja na mambo mengine nilitumia muda wangu kuwahoji wakazi wa Tanga juu ya muelekeo wa kisiasa.kimsingi inaonekana CHADEMA haijakubalika ndani ya mkoa wa Tanga na mbadala mkubwa wa CCM kwa Tanga ni CUF.
Sasa najiuliza je M4C imeshindwa kushawishi wakazi wa Tanga?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Swali ni lini itakwenda Zanzibar?
jibu:M4C Itakwenda, siku CUF na CCM wakioana rasmi kama TANU na ASP walivyofanya
Kama ile ndoa ya mwanzo iliyofungwa baina ya chadema na ccm kule Kigoma au sio?
yaani kama TANU+ASP=CCM, inasubiriwa CCM+CUF=?, hio ya Kigoma ni cha mtoto
M4C lini itakwenda Zanzibar?
Zanzibar kwani nayo ni sehemu ya Tanganyika?