Wakafuate nini nchi jirani??
M4C lini itakwenda Zanzibar?
Kufanya nini? Wale wanataka waachwe wapumue.M4C lini itakwenda Zanzibar?
Wakafuate nini nchi jirani??
Nakumbuka Igunga kuna watu walijidanganya hivyo hivyo...mara oh! Chadema haina chake Igunga, mara oh! CUF ina mtaji Igunga na mara oh! Chadema haitaambulia chochote Igunga. Mikoa ya Kusini nako hivyo hivyo...Chadema haikubaliki Lindi na Mtwara ni ngome ya CUF! Unakumbuka hali ilivyokua huko Ruvuma?kwa muda wa mwezi mmoja nimekuwepo jijini Tanga ,pamoja na mambo mengine nilitumia muda wangu kuwahoji wakazi wa Tanga juu ya muelekeo wa kisiasa.kimsingi inaonekana chadema haijakubalika ndani ya mkoa wa Tanga na mbadala mkubwa wa ccm kwa Tanga ni CUF.
Sasa najiuliza je M4C imeshindwa kushawishi wakazi wa Tanga?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwi! sasa wanataka muungano wa mkataba!Hawataki tena kujitenga baada ya kusikia Tanganyika kuna gas belele to the tune of $430 Billion ndiyo Billion with B
Kwi! sasa wanataka muungano wa mkataba!
M4C lini itakwenda Zanzibar?
Uko sahihi. Halafu cha ajabu wakazi wengi wa huko hali zao za maisha sio nzuri?nchi nyingi zina wahafidhina wake yaani watu wasiopendelea mabadiliko.TANGA watu wake wengi wako kihivyo. taratibu elimu ya uraia ikiwakaa watabadilika watapenda mabadiliko kama walivyo fanya mikoa mingine.
Nakumbuka Igunga kuna watu walijidanganya hivyo hivyo...mara oh! Chadema haina chake Igunga, mara oh! CUF ina mtaji Igunga na mara oh! Chadema haitaambulia chochote Igunga. Mikoa ya Kusini nako hivyo hivyo...Chadema haikubaliki Lindi na Mtwara ni ngome ya CUF! Unakumbuka hali ilivyokua huko Ruvuma?
Morogoro nayo ilikuwa hivyo hivyo...wambea wakadai na hata kutishia Chadema isithubutu kukanyaga Morogoro na kweli kijana wa watu kapoteza maisha. Arumeru Tendwa aliitangazia hali ya hatari Chadema kama ingethubutu kutotii onyo la wazee wa mila na hata Tabora inasemekana "chuma cha pua" Sitta amejiapia kwamba ngome yake haipenyeki! Yetu macho!
jingalao, hii ya Chadema ni tsunami, ukisikia iko njiani unaipisha...binadamu hashindani na tsunami, waulize Wajapani. Tanga iko njiani. Twanga kotekote itakapotua Tanga, hutasubiri utangaziwe kupitia redioni, mawimbi yake yatakutoa hata ukiwa ndotoni. M4C inaisogelea Tanga na ambaye hatakuwa tayari kuipisha, ajitayarishe kusombwa na mawimbi...