Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanya kwa ajili ya nini? Hii M4C inatakiwa isitishwe hadi mambo fulani yatengenezwe.
Kukusanya michango bila mrejesho wa matumizi na mapato ya michango inaashiria ufisadi, CHADEMA badilikeni haya mambo yataendelea kuwachafua na wabaya wenu watatumia hii kama propaganda, mnashindwa nini kutangaza matumizi ya fedha mnazokusanya?
kama wewe ni mwanachama na mfatiliaji utakuwa unajua mapato ya M4C na nikukumbushetu vyamavyote vya siasaukguliwa cag ni ccm akiona dosai tapayuka masaburi yatamuwasha..swali dogo ccm huwa wanatangaza kama wanavyofanya cdm..
mkuu PhD kama wewe ni gamba unanafasi nzuri zaidi kupata ripoti ya CAG hata hivyo chadema hutagaza pesa wanazopata kwanapochangiwa na tunaofatilia mambo tunajua pesa kiasi gani kina hitajika ukilinganisha na pesa tunayopata...niliwahi kusafiri na viongozi kwenye M4C niliona tabu wanazozipata..