Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,017
mulishayasema haya tuliyasikia zamani za kale mengine lete musaliti zitto laki mbili zipate kwa mara ya mwisho ndani ya siku kumi na nne huna kitu nenda kwenu kalime
Musaliti ndio nini? Wanafiki wakubwa mnajifanya wapinga ufisadi na watetez wa Demokrasia halafu mnashindwa hata ku practice walau kwa Majaribio ngaz ya Chama, Mungu ni Mwema sana kuwanyima Mamlaka 2010, Tambueni Mungu aliewanyima Power 2010 ndio huyohuyo wa 2015 ataewanyima tena!