figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,847
Kwa sasa yupo njiani akielekea morogoro kwa gari kumzika rafiki yake mangwair. mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Wacha tule bata hata kama haupendi haukuwepo wakati nazisaka so usinipangie kuspend"-Ngwair
sasa ni lipi lipo sahihi?? mara hana taharifa kama Albert kafariki, hapa yuko njiani kuelekea moro, lipi ni sahihi??????
Taarifa za yeye kutokujua kifo cha Ngweir ni za jana jioni mkuu!!sasa ni lipi lipo sahihi?? mara hana taharifa kama Albert kafariki, hapa yuko njiani kuelekea moro, lipi ni sahihi??????
sasa ni lipi lipo sahihi?? mara hana taharifa kama Albert kafariki, hapa yuko njiani kuelekea moro, lipi ni sahihi??????
Daaaaah katua bongo???????
Kama ni kweli ni vizur pia kama afya yake itakuwa imeimarika.......taswira ya mwenzie ingemsumbua pia asingemzika.
Mungu azid kuimarisha afya yko lakin pia safar njema.....mia!
Nipo wangu.............miamiss u sana mkuu. upo?.
pamoja sana!. mia
mambo yanaendaje?. miaNipo wangu.............mia