Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Shida gani kumtetemekea mtu anayejali hela yako tu na sio wewe.Umeliwa siku ya kwanza ulivompa hela kapotea,kamaliza anakuja tena unampa anasepa na anakusahau ana shida anakuja tena na unaendelea kutoa.Sometimes bora ma beibi wa kununua tu unatoa unapewa