M-pesa imenisababisha nifukuzwe na mama mwenye nyumba siitaki tena

master eagle

JF-Expert Member
Jun 16, 2013
342
86
Ni jambo la kusikitisha sana kuona unafukuzwa nyumba ya kupanga si kwamba huna hela ya pango bali ni uzembe tu wa vodacom kutotoabtaarifa kwa wateja wake kwamba huduma yao ya mpesa haipo hewani kwa takribani siku mbili au tatu.
Jamani yamenikuta mm nipo safarin kikazi nikawa nimetuma laki tisa kwa mke wangu tangu jana alipe kodi ya nyumba chaajabu hawa vodacom paka leo wameshindwa kurekebisha udhaifu wao wa mtandao wao na kusababisha usumbusfu wa kina sana kwetu.kinachoniuma ni pale mama mwenye nyumba kutonielewa na kuamuru nihame nami siko nyumbani.na hela yangu iko kwa simu tayari nashindwa kutoa wala kutuma.
Naamini tatizo kama hili voda si la bahati mbaya walipaswa kutuambia mapema kabla hatujaweka pesa zetu huu ni ubabaishaji wa hali ya juu na napata shakavpengine portifolio yao ipo down sana na wamekuja na kisingizio cha mtandao.nawaambia voda nikitoabtu hela yangu mnikome kama mlivyokoma nawapa taraka kwann hamjifunzi toka tigo na wengineo.MNABOA SANA KAMPUNI IMEWASHINDA HII WAPENI WANAYOIWEZA
 
Huyo mama mwenye nyumba nae sio muungwana, siku mbili tu akupe notisi..

Na wewe pia sio muungwana, kama unaendelea kuishi kwa nini kodi ya nyumba usitoe mapema kabla mkataba haujaisha..
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona unafukuzwa nyumba ya kupanga si kwamba huna hela ya pango bali ni uzembe tu wa vodacom kutotoabtaarifa kwa wateja wake kwamba huduma yao ya mpesa haipo hewani kwa takribani siku mbili au tatu.
Jamani yamenikuta mm nipo safarin kikazi nikawa nimetuma laki tisa kwa mke wangu tangu jana alipe kodi ya nyumba chaajabu hawa vodacom paka leo wameshindwa kurekebisha udhaifu wao wa mtandao wao na kusababisha usumbusfu wa kina sana kwetu.kinachoniuma ni pale mama mwenye nyumba kutonielewa na kuamuru nihame nami siko nyumbani.na hela yangu iko kwa simu tayari nashindwa kutoa wala kutuma.
Naamini tatizo kama hili voda si la bahati mbaya walipaswa kutuambia mapema kabla hatujaweka pesa zetu huu ni ubabaishaji wa hali ya juu na napata shakavpengine portifolio yao ipo down sana na wamekuja na kisingizio cha mtandao.nawaambia voda nikitoabtu hela yangu mnikome kama mlivyokoma nawapa taraka kwann hamjifunzi toka tigo na wengineo.MNABOA SANA KAMPUNI IMEWASHINDA HII WAPENI WANAYOIWEZA
Voda ni ya wakubwa wa CCm mnategemea nini kwani?
 
Voda ni ya wakubwa wa CCm mnategemea nini kwani?

Hahaha ww jamaa una bifu na ccm cjui wamekufanyia nn kibaya saaana!anywyz pole mkuu kwa majanga ongea tu vzur na landlord mama mwenye nyumba atakuelewa tuu!!
 
mkuu sidhani kama delay ya muda mfupi hivyo inapelekea wewe kufukuzwa kama mbwa,.


Jaribu kuweka mambo yako sawa na mama mwenye nyumba inaelekea hamuelewani maana kama mngekuwa mnaelewana vizuri ungemuelezea tatizo lako na angekuelewa bila shaka,.
 
Weka autopay bank acc yako na acc ya mwenye nyumba. Kila mwezi inajilipa yenyewe huna haja ya kuhangaika
 
Hahaha ww jamaa una bifu na ccm cjui wamekufanyia nn kibaya saaana!anywyz pole mkuu kwa majanga ongea tu vzur na landlord mama mwenye nyumba atakuelewa tuu!!

mkuu jitaidi kurekebisha uandishi wako haueleweki.!
 
Ndio maana rafiki zetu wa benki bado wanatusihi tutumie huduma zao...
 
Pole sana,wahanga wa hizi huduma ni wengi sana,cjui sisi wa huku shamba ambako hakuna benki tulie kilio gani! Wakombozi wetu m-pesa,airtel-money na tigo-pesa ndio hao wameingia ubia wa ubabaishaji na ccm.
 
Huyo mama mwenye nyumba nae sio muungwana, siku mbili tu akupe notisi..

Na wewe pia sio muungwana, kama unaendelea kuishi kwa nini kodi ya nyumba usitoe mapema kabla mkataba haujaisha..

Huwez mlaumu jamaa kwasababu hatujui yupo safarini kwa muda gani?,pili huenda huko safarini ndo kumempa hela,Tatu hizo huduma za pesa kwa njia ya mtandao walizileta ili kuharakisha mambo.Mama mwenye nyumba ndo kakosa busara

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mimi ni mwanachama wa JF tangu 2006 hivi (kama sijakosea), si mchangiaji sana wa jukwaa hili. Lakini hili limenigusa na nimeone napaswa kuchangia. Mwenzetu huyu angekuwa anatuma pesa ya faini mahakamani basi ndiyo kifungo hicho, kwasababu ya uzembe wa mpesa. Kutokana na umuhimu wa sekta hii kwa uchumi wa taifa, benki kuu na TCRA wanapaswa kuweka SLAs ambazi zikikiukwa tu basi hawa jamaa wanapaswa kulipa fidia ya asilimia fulani ya pesa za wateja wanazozihodhi kutokana na uzembe wao. Katika dunia yetu hii ya pesa za kidijitali, Hawa jamaa wakiachiwa wanaweza kutengeneza mabilioni ya fedha kwa kucheza na pesa za watu kwa masaa machache tu. Kwa wale mliopo Benki Kuu tuelezeni kama Standard SLA zipo. Na kama zipo tunaomba zisambazwe wananchi wajue haki zao
 
Pole sana mdau pia hilo swala limenikumba hii leo asubuhi nimemtumia mdogo wangu akalipie matibabu na mpaka muda huu hela hajaipata na sijui nini cha kufanya maana ni fedha nyingi jamani
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona unafukuzwa nyumba ya kupanga si kwamba huna hela ya pango bali ni uzembe tu wa vodacom kutotoabtaarifa kwa wateja wake kwamba huduma yao ya mpesa haipo hewani kwa takribani siku mbili au tatu.
Jamani yamenikuta mm nipo safarin kikazi nikawa nimetuma laki tisa kwa mke wangu tangu jana alipe kodi ya nyumba chaajabu hawa vodacom paka leo wameshindwa kurekebisha udhaifu wao wa mtandao wao na kusababisha usumbusfu wa kina sana kwetu.kinachoniuma ni pale mama mwenye nyumba kutonielewa na kuamuru nihame nami siko nyumbani.na hela yangu iko kwa simu tayari nashindwa kutoa wala kutuma.
Naamini tatizo kama hili voda si la bahati mbaya walipaswa kutuambia mapema kabla hatujaweka pesa zetu huu ni ubabaishaji wa hali ya juu na napata shakavpengine portifolio yao ipo down sana na wamekuja na kisingizio cha mtandao.nawaambia voda nikitoabtu hela yangu mnikome kama mlivyokoma nawapa taraka kwann hamjifunzi toka tigo na wengineo.MNABOA SANA KAMPUNI IMEWASHINDA HII WAPENI WANAYOIWEZA

Pole mkuu. Hii ndo Tz!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom