M/Kiti wa CCM Dkt Jakaya Kikwete Anawatakia Watanzania wote Heri ya Eid El Fitri

Peter Dafi

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
387
267
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) DKT Jakaya Kikwete Anawatakia Watanzania wote na Hasa waumini wa Dini ya Kiislamu Heri ya Siku ya Eid El Fitri.

Allah Apokee Swaum Zenu na atufungulie Milango ya Pepo yake Tukufu.

EID MUBARAQ.
 

Attachments

  • 1467788311794.jpg
    1467788311794.jpg
    81.4 KB · Views: 46
Huyu jamaa kidogo aiuze nchi,muda wote angani, ufisadi yeye, kujilimbikizia Mali yeye,mauaji ya kisiasa yeye

Hivi hizo dini huwa huwa mnamuabudu Mungu gani?
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) DKT Jakaya Kikwete Anawatakia Watanzania wote na Hasa waumini wa Dini ya Kiislamu Heri ya Siku ya Eid El Fitri.

Allah Apokee Swaum Zenu na atufungulie Milango ya Pepo yake Tukufu.

EID MUBARAQ.
Tunashukuru sana kwa salam kutoka kwa mh kikwete, tunamuomba aungane nasi kwenye kilio cha ukabwaji wa demokrasia hapa nchini
 
Huyu jamaa kidogo aiuze nchi,muda wote angani, ufisadi yeye, kujilimbikizia Mali yeye,mauaji ya kisiasa yeye

Hivi hizo dini huwa huwa mnamuabudu Mungu gani?
Hivi hayo yote uliyo yataja mbona yangetosha kuwakiishwa na neno ufisadi tu?
 
Huyu jamaa kidogo aiuze nchi,muda wote angani, ufisadi yeye, kujilimbikizia Mali yeye,mauaji ya kisiasa yeye

Hivi hizo dini huwa huwa mnamuabudu Mungu gani?
kweli we ni victor wa happy hata comment inajieleza umejawa majungu
 
Huyu jamaa kidogo aiuze nchi,muda wote angani, ufisadi yeye, kujilimbikizia Mali yeye,mauaji ya kisiasa yeye

Hivi hizo dini huwa huwa mnamuabudu Mungu gani

Hiyo ndio platform aliobaki nayo ya kutafutia kick; na ndio maana anafanya mizengwe aendelee na huo uenyekiti!! Stooge wake Membe anahangaika kuwakusanya wafanyabiashara ili wamuhujumu JPM lakini wamejulikana na wanathibitiwa!!
 
Hiyo ndio platform aliobaki nayo ya kutafutia kick; na ndio maana anafanya mizengwe aendelee na huo uenyekiti!! Stooge wake Membe anahangaika kuwakusanya wafanyabiashara ili wamuhujumu JPM lakini wamejulikana na wanathibitiwa!!
lakini wakati mwingine haya maneno ni mazito sana taratibu jamani,hivi mfano wewe ungelikuwa rais wa nchi hii ungewatumikia wananchi kweli? au tumebakiza kurusha maneno mazito mazito tu,mwacheni shekh kikwete apumzike labda pengine alizidiwa ujanja na maadui zake mambo yakashindikana tuwe na hekima kidogo.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) DKT Jakaya Kikwete Anawatakia Watanzania wote na Hasa waumini wa Dini ya Kiislamu Heri ya Siku ya Eid El Fitri.

Allah Apokee Swaum Zenu na atufungulie Milango ya Pepo yake Tukufu.

EID MUBARAQ.
Salamu zake tumezipokea.
Wapo ndugu zake katika imani (masheikh) ambao walisekwa mahabusu akiwa ni kiongozi wa nchi na ambao kwa miaka zaidi ya miwili sasa wanateseka bila ya sababu za msingi. Mfikishieni salamu, mwambieni alikalia haki zao, wakati leo,yeye na familia yake anafurahia sikukuu, familia za hao ndugu zake zinajisikiaje?

Ikumbukwe kwamba hawa masheikh hawajatiwa hatiani, ni watuhumiwa tu lakini kwa nini kesi zao zinachukua muda mrefu? Kama ambavyo aliomba makazi ya wanafunzi wa UDSM kwa Mkulu na ujenzi wa mabweni umeanza aombe pia haki za watuhumiwa hawa zisicheleweshwe.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom