Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Hali inayoendelea ndani ya ccm ni balaa tu! Mapacha wa tatu wamemkalia kooni m/kiti wa chama pamoja na mdomo wake uitwao Nape!Uchunguzi binafsi nilioufanya toka ndani ya ccm unabainisha kuwa sasa chama kimeshikiliwa kwa dhana ya sherhe za uhuru tu! Baadhi ya watu muhimu ndani ya ccm wanadiriki kusema ndio maana m/kiti anaona kiti cha moto pale magogoni! Wadau hao wanasema juhudi zote za kuumaliza upinzani zimegonga mwamba sasa hivi kilichobaki ni huruma ya watz tu kwani ndani ya chama watu wanaishi kwa matumaini tu!Hii tafsi yake nini wana jf?