mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,680
- 1,231
Agness Lambert - huyu Dada sijuwi maCCM akawafanyia nini ?? Kipindi cha campaign magamba walimvuja miguu , mikono pamoja na gari lake kisa alichomeka bendera za CDM kwenye gari lake.....polisi baado wanawasaka wahusika toka 2015......Mungu wakill wote maCCM abaki RAIA mwema tu tumechoka!!