Mpiganaji tz
Member
- Jul 22, 2010
- 21
- 0
Nimeskia kuwa regina mwalekwa amesepa redio one na kwenda kule kwa yale majike yasiyojua kiswahili fasaha i mean kibonde, gadna etc!! Tena jana nikaona katumi ikimwonesha jamaa aitwae miladi akisepa kutoka redio hiyohiyo yaani redio moja eti anamkimbia m-bichwa! Akisema "regina nisubiri twende wote huko, redio nimemwachia m-bichwa"
m-bichwa ni nani pale radio one?
m-bichwa ni nani pale radio one?