Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 87
hivi wapi nitapata lyrics za nyimbo za kiswahili kama Siwema,Kifo by Dr Remmy Ongala,Jojina na zile nyimbo za sikinde pleaseeeee!.
xoxo
Kelly01
xoxo
Kelly01
sikinde unataka ipi?
Kelly,
Mwadila. Sijui umefikia wapi na Kisukuma.
Haya, hebu angalia huu ukurasa sijui kama utakusaidia sana. Ila kuna nyimbo nyingi ingawa nyingine hazijamaliziwa. Kazi kwako.
http://home.arcor.de/tizedboy/baki_t.htm
Kwani wewe unayo ipi hommie?...
Hapa sikinde ndio kwao, ila mcheki GQ ana mizigo ya nguvu kuanzia albamu ya sungi mpaka hukooo
nimekupata......
ukisikiliza maneno yana kupita nini?
Mod's
Mnaonaje mkiweka kisehemu ambacho watu watakuwa wanaandika hizo Lyrics za nyimbo za kiswahili? Watu wanaozikumbuka wawe wanaandika na kuziweka. Wengine wao kama mie hapa huwa nina tatizo la kujua kinaimbwa nini. Hii iwe kwa lugha yoyote ile. Kuna wakati naelewa kivyangu. Nafikiri hizo nyimbo za hiyo site tungelizichukua na kuzimalizia zote na kuongeza nyingne.... Ntajitahidi na mie walau niweke maneno ya nyimbo mbili.
Kelly,
Samahani hiyo anwani niliyokupa nimeanzia ndani. Ukianzia main page ndiyo unaona nyimbo zote na Watz walijitahidi kwani wameandika wengi sana.
Angalia huo ukurasa kwa kuanzia hapa:-
Mziki kutoka Tanzania
Hiki ni kipande kinachonifurahisha cha Hiba. verse ya mbele mbele
Hiiba imekuwaje mpenzi, mbona humebadilikaaaa
Hiba ooh Hiba, imakuwaje hiba
Hiba ooh Hiba, nieleze leo
Badiliko la pendo lako lanitia wasiwasi
nini nimekuuzi, ooh Hiba
Ninapokuuliza, hutaki kusema nami hiba
ninapokuuliza wewe unanuna nuna
Ninapokuuliza hunisikii hata kidogo Hiba
Ninapokuuliza, wewe unanuna nuna
Unanisikitisha sana, unapokataa kula nami hiba
Hayo ndio mambo, we acha tu...
Kelly,
Samahani hiyo anwani niliyokupa nimeanzia ndani. Ukianzia main page ndiyo unaona nyimbo zote na Watz walijitahidi kwani wameandika wengi sana.
Angalia huo ukurasa kwa kuanzia hapa:-
Mziki kutoka Tanzania
Hivi dadangu kelly kazini unakwenda saa ngapi na unatoka saa ngapi ? Au vacation?
hahahaha usikonde miye mission town!..