Djunior
Member
- Sep 28, 2010
- 45
- 1
Wanajamii nisaidieni hili. Hivi huyu mzee wetu lyatonga ni kwanini anang'ang'ania sana madaraka? Wakati wa mfumo wa vyama vingi alitoka CCM na kujiunga na NCCR, Akaharibu akaanzisha NCCR MAGEUZI nacho kikamshinda akahamia TLP nako nahisi kutamshinda na kote huko yeye ni mwenyekiti kwa ushauri wangu apumzike au mnasemaje wanajamii.