Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole, Augustino Mrema amuasa IGP Sirro kuupuza ushauri wa IGP mstaafu Mahita wa kuwashughulikia wapinzani wakorofi kwani yeye aliwahi kumbambikizia kesi.
Ukiona hivyo hajapewa posho!Kidogo mzee anaanza kuamka toka uko alikokua amesinzia
Huyu babu naye haelewekagiMrema amuasa IGP Sirro kuupuza ushauri wa IGP mstaafu Mahita wa kuwashughulikia wapinzani wakorofi kwani yeye aliwahi kumbambikizia kesi.View attachment 592114
Hahaha safi mzee wa bodi ya parole!Mrema amuasa IGP Sirro kuupuza ushauri wa IGP mstaafu Mahita wa kuwashughulikia wapinzani wakorofi kwani yeye aliwahi kumbambikizia kesi.View attachment 592114
Huyo ni eagle hawezi kujulikanaHuyu naye ni wa hivyo! Hajulikani yuko upande agni, ni njaa tu!
Pole MuhengaMahita alimpiga Mrema mabomu mengi sana. Hata mimi kipindi hicho tukisukuma gari ya Mrema tulipata hiyo shurba.
Pole MuhengaMahita alimpiga Mrema mabomu mengi sana. Hata mimi kipindi hicho tukisukuma gari ya Mrema tulipata hiyo shurba.