Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,892
- 3,913
Nakumbuka humu huyu jamaa alileta habari yake ya kumiliki Mali kwa njia za kishirikina, kama kumbukumbu zangu zipo sahihi, halafu akahamia Telegram huko.
Sasa leo katika pitapita zangu nasikiliza akithimulia huku Radio Free Africa
Sasa leo katika pitapita zangu nasikiliza akithimulia huku Radio Free Africa