Lwakatare Wilfred Muganyizi Karibu Nyumbani-Bukoba Tarehe 19.06.2013

Omutwale

JF-Expert Member
Feb 4, 2008
1,431
1,045
Karibu sana Kijana wetu, Mtoto wetu, Mtetezi wetu wanyonge, Kaka yetu na Rafiki yetu kipenzi Wilfred Muganyizi, Lwakeupe, Lwax, Engaaju, Entare Lwakatare osiimbe ente!
image
 
Siko huko ila nakuombea maribisho mema. waambie wakazi wa bk ukatili wa watawala wa sism ni zaidi ya wakoloni wa kijerumani
 
Nyegera entale ya bukoba kifuba kyaitahwa engaju ente ya mahembe keyemelela abandi bachundwa. ija oyenaganage okokolome eminye nenyenje zoona zilagalike nkensenene ze toigo
 
I wish ningelikuwepo hapo home ningeagiza embandule alafu nikalala omubwato
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom