Lwakatare vituko vitupu: Polisi wasaka maandiko yake ofisi za CHADEMA, Salva amtetea Michuzi

Ok mkuu,kwahiyo mashtaka dhidi yake yatakuwa ni yapi?Ni uhalifu gani hiyo video itatumika kama ushahidi kuwa aliufanya ama kuupanga?

Ni kesi ya mwanidishi yupi atapewa?Kibanda?
Haha, jmushi1, infact hapa sioni kesi. Maana huo uhalifu uliopangwa haukutekelezwa. lakini kesi itakayopelekwa mahakamani labda ni hiyo kwamba ameshiriki katika mipango ya kihalifu. Lakini sioni connection ya hiyo video na tukio la kibanda.
 
Last edited by a moderator:
Lukolo, hivi unamaanisha dhahiri kuwa suala la Mwigulu na video zake ni la wanasheria wa CDM. je wananchi mnawahakikishiaje usalama wao dhidi ya hiyo mipango mibaya?. ndio maana muuaji wa Balo alikamtwa mapema lakini si watesaji wa kibanda na ulimboka et el. tendeni haki tu sheria zipo msizipindishe, Mungu anawaona unless hamumutumaini yeye Mungu wa kweli mmejitoa kuwa maibilisi tu.
 
Kutoa ushahidi humu jamvini hakumaanishi kutabadilisha structure ya ile video hivyo kuaffect ushahidi mahakamani. Unzuri ni kwamba teknolojia haina siasa. Kwa maana hiyo there is no proof kuwa ile video ni feki.

Maboso: You say there is no proof that the video is fake. Does it follow, from your logic, that it is therefore genuine? And, more importantly, when you fail to see proof of something, does it follow that the said proof does not exist?

I put it to you that there is overwhelming circumstantial evidence, even at this stage, that the video is fake.

On a related matter, I would like to ask you the following: Does it matter to you that the State House (the holy of holies) might be celebrating news of this video? Why is the existence of the video a victory to them? It makes some of us confirm our suspicion that that den of vipers is working in cahoots with the torturers of Ulimboka and Kibanda.

 
kila siku chadema wanapiga kelele kuwa TISS inatumiwa na CCM badala ya kushuguikia usalama wa nchi sasa kwa email hizi
ndio inathibitisha wazi wanachokisema chadema kila siku. Twiga wanapotea madini ya nchi yetu yanapotea watu wanapongezana CCM imepata clip ya lwakatare. ni ujinga tupu
 
kila siku chadema wanapiga
kelele kuwa TISS inatumiwa na CCM badala ya kushuguikia usalama wa nchi
sasa kwa email hizi
ndio inathibitisha wazi wanachokisema chadema kila siku. Twiga wanapotea
madini ya nchi yetu yanapotea watu wanapongezana CCM imepata clip ya
lwakatare. ni ujinga tupu

Sikuwai kutegemea au kujua kuwa michuzi ni mpuuuzi aliyepitiliza, mpaka niliposoma ile email...:
 
Mkuu Pasco,
Mimi pia naiona ile video ina uhalisia kabisa ndio maana nasema hao wanosema ni feki basi watumie utaalamu wao waproove. Kwa upande wa zile email, mie kwangu naona ni za kupikwa ndio maana nilitaka niproove hilo humu humu jamvini. Maana ninachokiona ni juhudi za hali ya juu za kutengeneza mazingira kutaka kutuaminisha kuwa TISS wamehusika na ile video.
We Pimbi kweli,
Salva alioko Ikulu mwenyewe anaikubali ile email ni halisi, wewe huku nje unadai imepikwa.
 
hapa tumethibitisha kuwa yaliyo andikwa ni ya kweli, polisi kama michuzi ahojiwe haraka saana
 
Hata kama wangesema ni uhalifu wa kimtandao osingekuwa utetezi maana ingeonyesha system yetu haina security ya kutosha.
 


Kuna mtazamo mwingine wa hili sakata la video ya Lwakatare, mtazamo ambao nasdhindwa kuunganisha dots.. Naomba msaada

1. Kuna thread moja iliwekwa juzi (j'mosi) ikionyesha akina Michuzi wakipongezana kutokana na Usalama wa Taifa (TISS) ‘kuleta kitu hiki' na kwamba ni ‘kete kubwa kwetu' – bila shaka kete kubwa dhidi ya Chadema. Katika thread hiyo kulizuka tatizo la kutafsiri (yaani kulikuwapo ambiguity) kuhusu maneno (intepretation) ya pongezi hizo kwa TISS ni kwa ajili ya nini hasa – yaani kwa jitihada halali za TISS kuchunguza na hatimaye kupatikana hiyo video; au pongezi zililenga kwa wao TISS ‘kuipika' hiyo videoa kwa ajili ya kubambikizia CDM?

2. Sasa hata tuchukue hiyo tafsiri ya kwanza – kwamba TISS ndiyo walifanikisha kuchunguza na kupatikana hiyo video ambayo bila shaka itakuwa ni ‘ushahidi' mkubwa wa kesi dhidi ya Lwakatare na pengine CDM pia, jee hii ndiyo njia sahihi kwa TISS, au tuseme ndiyo utaratibu wao wa kuuweka kwanza ushahidi huu muhimu mtandaoni kabla ya sualakupelekwa mahakamani? Nasema hivi iwapo video hiyo ni kutokana na jitihada zao za halali wenyewe TISS yaani wao ndiyo exclusive owner wa hiyo video kama jinsi akina Michuzi walitaka sis tuamini. Inakuwaje waitumbukize kwanza mtandaoni? Ndivy utaratibu siku hizi?

3. Kwa nini TISS wasingekaa nayo kimya kimya tu halafu kuishtukizia mahakamani baada ya kumkamata Lwakatare? Ushahidi mkuu wa kesi unawekwa bayana kwa jamii kwa njia ya mtandaoni kabla ya kesi kuanza?

4. Lakini pengine TISS hawakuwa mmiliki pekee (exclusive owner) ya video hiyo yaani nao waliipata kutoka kwingine (labda from Mchemba?) lakini hata hivyo haikuwa sahihi kitaaluma za mambo ya upelelezi na mashitaka kuiweka kwanza mitandaoni – kwa lengo gani?

5. Na ndiyo sasa nakuja na tatizo langu kubwa kuhusu sakata zima hili: Yeyote yule (TISS au Mchemba) waliiweka video kwanza mtandaoni ili kupima joto ku-test waters) kuhusu uhalisia wake) na wameona kwamba video hiyo imejikuta inatobolewa matundu mengi tu (punched holes) hadi uhalisia wake kuonekana wa mashaka. Kweli TISS hufanya kazi kwa mtindo huu?

6. Mie nadhani ni Mchemba (aliyewahi kutangaza huko nyuma kwamba anayo video ‘inayoonyesha viongozi wa Chadema wakipanga mauaji' lakini baadaye akajikuta video ina mapugufu mengi kuhusu alichokitangaza na ndiyo maana badala ya kuipeleka polisi (kama jinsi akina Dr Slaa walivyomtaka kuipeleka), au kuwapa TISS wai-deal nayo -- aliona ni vyema aiweke mtandaoni. Na sababu kubwa kufanya hivi ni kwamba iwapo itaonekana ni video ni bomu (yaani ya kughushi), basi isijulikane kama ni yeye ndiyo aliiweka mtandaoni na hivyo kukwepa lawama. Na ndiyo maana kumetokea ugumu wa kumpeleka Lwakatare mahakamani kwa haraka.

7. Video hiyo haimuunganishi moja kwa moja Lwakatare kuhusu kupigwa kwa Kibanda hivyo bila shaka waliokuwa nayo waliishikilia kwanza (was put on hold) hadi "tukio la Kibanda" litokee ndiyo ikawekwa mtandaoni. Hii bila shaka ilitakiwa jamii iwekwe kwanza kisaikolojia kuhusu yatakayofuata."


8. Na yaliyofuata sasa tumeyaona – watu walipangwa ku-act nafasi zao kama ilivyotakiwa (according to the laid down script). Hawa wengine ni pamoja na Manyerere -- na hata huyo Ludovick na tukio lake lile la kutekwa ili kujitafutia alibi. Nahisi Ludovick atakuwa shahidi tu wa kujaribu kuakandamiza viongozi wengine wa CDM – ingawa hawatajwi katika video.

Mimi naona mpango mzima uliosukwa umekwenda kombo mahali fulani. Bado tISS wanakosa uweledi wa kufanya operations zao – kuanzia tukio la kuuwawa kwa Gen Amrani Kombe, Chacha Wangwe, tukio la tindikali la Kubenea, kutekwa kwa Ulimboka na pengine hili la kupigwa kwa Kibanda.


Naomba tujadili hili kwa kina.
 
TISS na Ikulu zinaendelea kuingiliwa na VILAZA.......duuhh

Ogah
In Buenos Aires
 


kuna mtazamo mwingine wa hili sakata la video ya lwakatare, mtazamo ambao nasdhindwa kuunganisha dots.. Naomba msaada

1. Kuna thread moja iliwekwa juzi (j’mosi) ikionyesha akina michuzi wakipongezana kutokana na usalama wa taifa (tiss) ‘kuleta kitu hiki’ na kwamba ni ‘kete kubwa kwetu’ – bila shaka kete kubwa dhidi ya chadema. Katika thread hiyo kulizuka tatizo la kutafsiri (yaani kulikuwapo ambiguity) kuhusu maneno (intepretation) ya pongezi hizo kwa tiss ni kwa ajili ya nini hasa – yaani kwa jitihada halali za tiss kuchunguza na hatimaye kupatikana hiyo video; au pongezi zililenga kwa wao tiss ‘kuipika’ hiyo videoa kwa ajili ya kubambikizia cdm?

2. Sasa hata tuchukue hiyo tafsiri ya kwanza – kwamba tiss ndiyo walifanikisha kuchunguza na kupatikana hiyo video ambayo bila shaka itakuwa ni ‘ushahidi’ mkubwa wa kesi dhidi ya lwakatare na pengine cdm pia, jee hii ndiyo njia sahihi kwa tiss, au tuseme ndiyo utaratibu wao wa kuuweka kwanza ushahidi huu muhimu mtandaoni kabla ya sualakupelekwa mahakamani? Nasema hivi iwapo video hiyo ni kutokana na jitihada zao za halali wenyewe tiss yaani wao ndiyo exclusive owner wa hiyo video kama jinsi akina michuzi walitaka sis tuamini. Inakuwaje waitumbukize kwanza mtandaoni? Ndivy utaratibu siku hizi?

3. Kwa nini tiss wasingekaa nayo kimya kimya tu halafu kuishtukizia mahakamani baada ya kumkamata lwakatare? Ushahidi mkuu wa kesi unawekwa bayana kwa jamii kwa njia ya mtandaoni kabla ya kesi kuanza?

4. Lakini pengine tiss hawakuwa mmiliki pekee (exclusive owner) ya video hiyo yaani nao waliipata kutoka kwingine (labda from mchemba?) lakini hata hivyo haikuwa sahihi kitaaluma za mambo ya upelelezi na mashitaka kuiweka kwanza mitandaoni – kwa lengo gani?

5. Na ndiyo sasa nakuja na tatizo langu kubwa kuhusu sakata zima hili: Yeyote yule (tiss au mchemba) waliiweka video kwanza mtandaoni ili kupima joto ku-test waters) kuhusu uhalisia wake) na wameona kwamba video hiyo imejikuta inatobolewa matundu mengi tu (punched holes) hadi uhalisia wake kuonekana wa mashaka. Kweli tiss hufanya kazi kwa mtindo huu?

6. Mie nadhani ni mchemba (aliyewahi kutangaza huko nyuma kwamba anayo video ‘inayoonyesha viongozi wa chadema wakipanga mauaji’ lakini baadaye akajikuta video ina mapugufu mengi kuhusu alichokitangaza na ndiyo maana badala ya kuipeleka polisi (kama jinsi akina dr slaa walivyomtaka kuipeleka), au kuwapa tiss wai-deal nayo -- aliona ni vyema aiweke mtandaoni. Na sababu kubwa kufanya hivi ni kwamba iwapo itaonekana ni video ni bomu (yaani ya kughushi), basi isijulikane kama ni yeye ndiyo aliiweka mtandaoni na hivyo kukwepa lawama. Na ndiyo maana kumetokea ugumu wa kumpeleka lwakatare mahakamani kwa haraka.

7. Video hiyo haimuunganishi moja kwa moja lwakatare kuhusu kupigwa kwa kibanda hivyo bila shaka waliokuwa nayo waliishikilia kwanza (was put on hold) hadi “tukio la kibanda” litokee ndiyo ikawekwa mtandaoni. Hii bila shaka ilitakiwa jamii iwekwe kwanza kisaikolojia kuhusu yatakayofuata.”


8. Na yaliyofuata sasa tumeyaona – watu walipangwa ku-act nafasi zao kama ilivyotakiwa (according to the laid down script). Hawa wengine ni pamoja na manyerere -- na hata huyo ludovick na tukio lake lile la kutekwa ili kujitafutia alibi. Nahisi ludovick atakuwa shahidi tu wa kujaribu kuakandamiza viongozi wengine wa cdm – ingawa hawatajwi katika video.

mimi naona mpango mzima uliosukwa umekwenda kombo mahali fulani. Bado tiss wanakosa uweledi wa kufanya operations zao – kuanzia tukio la kuuwawa kwa gen amrani kombe, chacha wangwe, tukio la tindikali la kubenea, kutekwa kwa ulimboka na pengine hili la kupigwa kwa kibanda.


naomba tujadili hili kwa kina.

alexander mahone- fbi
 
Back
Top Bottom