technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni ikidai nilisema hivi:
Nakanusha maneno yanayosambazwa mitandaoni na kundi la watu nisiojua lengo lao.
Huwa sijibizani na hasa ninapolishwa maneno. Nina uzoefu wa kesi ya kwanza ya ugaidi nchi hii na kilichofanyika kupitia mitandao.
Wanaoweka maneno mitandaoni wanashindwa nini kuweka clip ya video ikionyesha hotuba yangu ya dk 5 niliyoyaongea kwenye Mkutano Bukoba?
Mimi ni nyani mzee, nimeshakwepa mishale mingi. Huo haunipati ng'o".
3.1.2017.
WILFRED LWAKATARE MBUNGE WA BUKOBA MJINI (CHADEMA).
"Mimi sina tatizo na Mh Rais Magufuli, anaendesha nchi vizuri. Kilio cha siku nyingi chetu sisi wapinzani ni kumpata Rais anayepinga rushwa na ufisadi kimesikika. Magufuli anaifanya kazi hiyo vizuri. Tumuungeni mkono."
Nakanusha maneno yanayosambazwa mitandaoni na kundi la watu nisiojua lengo lao.
Huwa sijibizani na hasa ninapolishwa maneno. Nina uzoefu wa kesi ya kwanza ya ugaidi nchi hii na kilichofanyika kupitia mitandao.
Wanaoweka maneno mitandaoni wanashindwa nini kuweka clip ya video ikionyesha hotuba yangu ya dk 5 niliyoyaongea kwenye Mkutano Bukoba?
Mimi ni nyani mzee, nimeshakwepa mishale mingi. Huo haunipati ng'o".
3.1.2017.
WILFRED LWAKATARE MBUNGE WA BUKOBA MJINI (CHADEMA).