Lwakatare, Ludovick wafikishwa mahakamani Kisutu

Mimi kama hakimu ningependelea hii kesi nikabidhiwe mm, ningeanza na Mwigulu, Riz1, Nchimbi/pimbi, na Mkorofi/Mwema wote ndani.
 
Mkuu, Rais Kikwete anahusika vipi na maamuzi ya mahakama. Mimi nilifikiri mahakama ni taasisi kati ya taasisi tatu zinazojitegemea nchini (Mahakama, bunge na serikali)
ni mtu asiye na uelewa anaweza kutofahamu uhusiano kati ya Kikwete na IGP na CJ na Mkuu wa UWT! Hizi taasisi zoote zinafanya kazi kwa shinikizo la kisiasa na kuendekeza itikadi za udini!
 
Hakuna ushahidi wa kutosha au?

Si wampe dhamana kama hawana ushahidi warudi Lumumba kupanga upya au?
 
Mkuu, Rais Kikwete anahusika vipi na maamuzi ya mahakama. Mimi nilifikiri mahakama ni taasisi kati ya taasisi tatu zinazojitegemea nchini (Mahakama, bunge na serikali)
bolded;you thought wrong kwa tanzania hiyo mihimili mitatu yote ni kitu kimoja,kinadharia inaonekana inajitegemea
 
Nashauri VIJANA WAINGIE MTAANI KUDAI REGIME CHANGE!

1. Tunapaswa kuingia mtaani kupinga idara ya usalama kuendeshwa kisiasa
2.Tunapaswa kuingia mtaani kupinga Polisi kuendeshwa kisiasa (Othman wa UWT, Kova na Mwema wajiuzulu)

3. Tunapaswa kuingia mtaani kudai kikwete ajiuzulu! Tukiendelea kupiga story online tuuuuuuuuuu kwa style hii hakuna mabadiliko yatakayotokea.

4. Think action!
 
CCM na wana-CCM wote uwezo wao wa kufikiria unamashaka! Hivi ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kupanga mauaji/utekaji wa watu kwenye sehemu ya wazi? Ninani anaweza kupanga mambo hayo wakati watu wengi wakiwamo wanadada wanasikiliza? Acheni ujinga, siku zenu zimekwisha na msubiri kuondolewa madarakani, fanyeni yote, wateseni wa Tanzania, lakini siku zinahesabika!
 
Mkuu, Rais Kikwete anahusika vipi na maamuzi ya mahakama. Mimi nilifikiri mahakama ni taasisi kati ya taasisi tatu zinazojitegemea nchini (Mahakama, bunge na serikali)
1. Mahakama huru?. Hakuna mtu atakuwa huru kwa kupewa nafasi au cheo cha UPENDELEO bila sifa.

2.Bunge Huru?. Bunge lipi ambalo linaendeshwa kwa matakwa ya kundi la watu fulani.

3.Serikali Huru, hapo sawa maana haiwasikilizi wananchi na imejiongezea madaraka ya juu zaidi ya hiyo mihimili miwili ya mwanzo.
 
There are currently 745 users browsing this thread. (162 members and 583 guests) Shughuli inaendelea, hakuna kufunga goli la mkono hapa!!

watu wote hao wamekodelea macho huu uzi na toka saa nne hamna updates zozote,inakuweje wakuu?
 
ni mtu asiye na uelewa anaweza kutofahamu uhusiano kati ya Kikwete na IGP na CJ na Mkuu wa UWT! Woote wana itikadi moja nayo ni kufanya kazi kwa kisiasa na kuendekeza udini!
Kama unavyosema, Kukuuliza ni ishara tosha inadhihirisha sielewi mahusiano yao kwa mtazamo huu wa hisia ulionieleza.

Ninashukuru kwa kunijulisha na kunielimisha hili pamoja na kwamba limejengeka katika hisia badala ya uhalisia.

Akili mkichwa. Tuendelee kusubiri UPDATES.
 
1. Mahakama huru?. Hakuna mtu atakuwa huru kwa kupewa nafasi au cheo cha UPENDELEO bila sifa.

2.Bunge Huru?. Bunge lipi ambalo linaendeshwa kwa matakwa ya kundi la watu fulani.

3.Serikali Huru, hapo sawa maana haiwasikilizi wananchi na imejiongezea madaraka ya juu zaidi ya hiyo mihimili miwili ya mwanzo.
hivi,hii kesi na bunge huru wapi na wapi jamani?mara sijui imejiongezea nini,kha...?

Kila kitu na sehemu yake kama unataka kutuhubiri siasa zako uende kwenye majukwaa hapa tunaongelea kesi.
 
TUNAOMBA MUNGU ASIMAME UPANDE WA WALE WENYE KUDHULUMIWA NA KUWAUMBUA MADHALIMU WA HAKI ZA BINADAMU, MUNGU AMPE SUBRA SHEKH PONDA KWANI YANAYOMKUTA NI AHADI YA MWENYEZI MUNGU JUU YA KUPIMWA UTHABITI IMA UDHAIFU WA IMANI YA MTU.
YAMESHAWAPATA MAKUBWA WALIOPITA KTK WATU WEMA LENGO LIKIWA NI KUJUA WAKWELI NA WAONGO KATIKA IMANI ZAO.
Mungu yuko pamoja na wenye subra.
 
Back
Top Bottom