Tukiwa hapa mjini Bukoba, vijana kwa wazee,makamanda kwa makada wakiwa katika shamrashamra za kumpokea Kamanda Wilfred Lwakatare aka Engaju. Watu wameanza kuelekea viwanja vya ndege kimakundi, ikitarajiwa Lwakatare atafika saa saba mchana wa leo.
-------------------------------
-------------------------------