TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Jun 21, 2013 #62 Makamanda hakuna kulala mbaka kieleweke!
M massai JF-Expert Member May 2, 2011 653 137 Jun 21, 2013 #63 kamanda piga kazi. hile single ya NEPI kila mtu anajua ni feki na haina soko madukani. 2015 lazima tuwapige chini hapo.
kamanda piga kazi. hile single ya NEPI kila mtu anajua ni feki na haina soko madukani. 2015 lazima tuwapige chini hapo.
Kakende JF-Expert Member Aug 18, 2012 2,741 1,231 Jun 21, 2013 #64 Kuweni makini uenda magaidi wa CCM wapo hapo