saronga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 909
- 218
Ujinga hauna shule, ukiwa mpumbavu hata kama utasoma hadi upate zile shahada za uzamivu kama ni mpumbavu utaendelea tu kuitwa Dr. Mpumbavu au Prof. Mpumbavu. Mbona swala la lwakatare mnalivalia sana njuga?? ajiuzulu kwa faida ya nani?? yaani maccm baada ya kuona kile kikosi cha mawakili nguli watano kimesimamia show sasa mnatapatapa na kuhangaika ili mpate kuhalalisha uhuni wenu. Subirini kwanza shauri liishe kisheria, si mmelipeleka wenyewe mahakamani, sasa kinachowawasha ni nini??. Subirini sheria ichukue mkondo wake, nyie maji mshayavulia nguo subirini kuyakoga msiweweseke, tulieni msubiri anguko lenu la kihistoria.