Lwakatare atakiwa kuachia ngazi kukinusuru chama na kuchafuka

Na Albinei Marcossy Wa Taasisi ya Raia na Haki za kisiasa na mwenendo wa Bunge( CPRW) amemtaka Mkuu wa usalama wa CHADEM wilfred Lwakatare kujiuzulu mara moja ili kupisha uchunguzi huru kwa jeshi la polisi.Pia kujiuzulu kwake kutasaidia kukiepusha chama na kuchafuka machoni kwa waanchi.
Kupitia Vyombo vya habari amesisitiza kuwa,Kitendo cha Lwakatare kuendelea kuwa mkuu wa usalama wa chadema na huku anamashitaka ya Ugaidi ni doa kwa chama na hakuleti picha nzuri kwa kuzingatia misingi ya utumishi.

We gamba ugaidi upi hapo?
 
Kama anataka Lwakatare ajiuzuru basi pia uongozi wote wa juu wa CHADEMA ujiuzuru pending court case kwa sababu Lwakatare alikuwa anafanya kile ambacho kimekuwa sactioned by CHADEMA machinery.

Huwezi ukawa na kiongozi wa juu mwenye fikra za KISHETANI na systematically anafanya mambo ya KISHETANI bila party high office kufahamu otherwise hiyo ofisi itakuwa haina kiongozi makini.

Alichokuwa anakifanya Lwakatare ni methodical organised.
umejiunga kwa kubadili ID tarehe 22.3.2013 kufikia tarehe 24.3. 2013 ulikuwa na posts 63 zote against CHADEMA. masalia at work. hongera watakulipa vijisenti
 
umejiunga kwa kubadili ID tarehe 22.3.2013 kufikia tarehe 24.3. 2013 ulikuwa na posts 63 zote against CHADEMA. masalia at work. hongera watakulipa vijisenti
MASALIA ndiyo nini?.

Kama wewe unalipwa vijisenti kutoka Mtaa wa Ufipa, usifikirie kila mmoja kama wewe.

Jibu hoja, kama huna hoja usiumize videlo vyako kwenye keyboard/keypad. Press NEXT.
 
Pole sana.Naona TISS wamekuteka na wewe kisaikologia
Inasikitisha; Ludo na Lwaka wameisaliti Chadema na bado Chadema inawakumbatia wasaliti badala ya kuwavua vyeo/uanachama ili kuwa on safe side.

Very simple, Chadema walitakiwa wawe na benefit of doubts kwamba Ludo na Lwaka yawezekana wameamua kusaliti Chadema. Chadema wameamua kuifanya kesi kuwa ya chama bila kuona uwezekano wa Ludo na Lwaka kuwa wame fanya independent of Chadema.

Tatizo ni kwamba Chadema inakosa machine ya utafiti na badala yake wanavizia opportunity ya makundi yanayokizana ndani ya CCM kupata public sympathy. Janja hii haitakisaidia Chadema maana mwisho wa siku CCM will sort itself out.

Ukosefu wa machine ya utafiti umefanya Chadema ilazimishe kubadiri kesi za ugoni za Kibanda na Ulimboka kuwa kesi za kisiasa ata kama waliopigwa na kuteswa wanaomba mateso yao yasihusishwe na siasa. Inasikitisha kuona chama ambacho kingeisikisha adabu CCM kikikosa kichwa na mkia. Inasikitisha.
 
Watu kama wewe mnaojifanya 'wasomi' wa Tanzania hakuna lolote. Wewe umeona makosa tu kwenye kingereza. Hebu niambie, kwa usomi wako unaodai, ni makosa mangapi ya watumia kiswahili kisicho na structure wala semantic katika uzi huu umebainisha hapa na umewaomba waandike kwa lugha zao kwa vile kiswahili chao hakileti maana.

Watu kama wewe mnaposhindwa kujibu hoja, mnakimbilia kutafuta vijisababu vya kitoto mkidhania kwa kufanya hivyo, mleta bandiko atakuwa subservient. kwangu ni sawa na kupiga ngumi kwenye mwamba. Been there, done that.

Usipoteze muda wako. Jibu hoja, kama sina hoja, press next button. FINITO.
Mkuu Mwanadiwani, kwanza sijawahi kujifanya msomi zaidi ya kesema nilipitia UDSM kitivo cha sheria, kwa muda wa miaka 4 ili tuu kutoa tongotongo za sheria, wala hata sikuwahi kusema nilipata nini!, wala sijawahi kueleza humu nimewahi kusoma nini tena, vyuo vipi na nilipata nini!.

JF ni social forum, unazungumza the most comfortable language you feel bila kujali structure wala syntax, hapa ni informal communications kama tuu tunavyozungumza vijiweni!. Hapa hatufanyi formal communications wala presentation, hapa tunamwaga tuu nondo, ila nakupongeza, wewe ni mwalimu wa wito, born teacher, hivyo unaumia sana ukiona watu wa nakosea/kuchanganya lugha, sio vibaya ukifungua darasa hata humu jf, wanafunzi utatupata na tutajisajili tuingie class!
Karibu!.
Pasco.
 
Sawa njama ni jinai. Lakini Mwigulu alidai ana vielelezo vya hizi njama je hakuwa na wajibu wa kisheria wa kuvipeleka polisi? Au hata hao polisi walifanyia kazi hiyo taarifa ya Mwigulu considering that it was covered on a national TV. What happened to dectection and prevention of crime? Mwigulu aoneshe hivyo vielelezo vyake kama anataka tusimshakie kwamba naye alikuwemo kwenye hiyo njama
Mkuu Azipa,
Nakubaliana na wewe, kwa asilimia 100% kuwa kama raia mwema, unapojua jinai inataka kutendeka/imetendeka, unapaswa kutoa ripoti kwenye vyombo husika!. Kitendo cha kutoripoti ni kosa kisheria na unapaswa sio kuunganishwa "accesory" bali kwa kosa jingine dogo zaidi!. Hata hivyo, kuna watu wenye kinga ambao hata ukijua, na hujaripoti, hupaswi kushitakiwa, wala kutumiwa kama shahidi. Watu hawa ni Mke na mume na mzazi na mtoto, mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, padri na muumini wake na mwanasheria na mteja wake!, hii inaitwa "fidutiary relationship".

Yaani mke hata akijua mumewe ni jambazi, hatarajiwi kushitakiwa na hata mumewe akishikwa, mke anapewa kinga ya kutolazimika kuja kutoa ushahidi, unless mke akiamua mwenyewe kumripoti mumewe kwa usalama wake, maana anaweza kuogapa kuwa siku moja anaweza kushikwa na kuuwawa!.

Padri na muumini, mfano unaweza kukuta watesaji wa Dr. Ulimboka, Kibanda na wauawaji wa Prof. Jwani Mwaikusa, au wauaji wengine wowote, usikute walishaenda kanisani na kutubu madhambi yao kwa padri, hivyo anawajua, japo serikali inasisitiza mwenye taarifa alete, huyo padri licha ya kujua kwa kutopeleka taarifa yoyote, anakinga ya kutoshitakiwa, na hata zawadi ikitangazwa, akijitolea kuripoti, hatapaswa kuitwa kama shahidi!. Vivyo hivyo kwa daktari na mteja wake, mwalimu na mwanafunzi na mwanasheria na mteja wake.

By now, Rwakatare, ameisha waambia kila kitu mawakili wake, A-Z, mawakili wake japo wanaujua ukweli halisi, bali ndio hao humshawishi mteja wao kukana kila kitu kwa sababu mfumo wetu wa sheria ni wa Mwuingereza, "innocent until proven guilt" na "the burden of proof lies with the prosecution" hivyo waipe serikali task ya "to prove beyond reasonable doubt" ile "astus reus" na "mens rea" ya jinai ya njama za utekaji nyara, imefanyika!. Ndio maana kuna wahalifu wengi tuu wanaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha huku kiukweli wameitenda wao ile jinai husika!.

Mara tuu baada ya tukio la kibanda, nilipandisha uzi kuhusu TISS yetu ilvyo hovyo hovyo modes wakaibania!, nilisema kitendo cha Mwingulu kutangaza anayo video ya mikakati ya chadema kupanga mauaji, alipaswa kutiwa ndani kuisaidia polisi kwa kitendo tuu cha kuutangazia umma, bila kwanza kulishirikisha jeshi la polisi!.

Nilisema kitendo cha Membe, kutangaza maadui 11 na kuwa "ole wao", tiss walipaswa kuwajia ni kina nani, na chochote kibaya kikiwatokea, the first suspect shuld have been Membe!. Kwa vile alisema kuna waandishi wawili, in case Kibanda was one off, Membe alipaswa awe ndani kuisaidia polisi!.

Nliwahi kusema humu jinsi jeshi letu la polisi lilivyo ovyo ovyo, hii kesi ya Rwakatare ni ushahidi wa wazi wa double standards, niliuliza kama kwa Ulimboka hadi majina walipewa, and they did nothing!, what chances kwamba kwa Kibanda they'll do something?!. Hivyo walipoimata tuu hiyo video, (japo naendelea kuisisitiza ni "bonafide genuine"), sasa ndio wamepatia "scape goat" wa maroroso yao, tena msishangae mashitaka yakibadilishwa na kumuunganisha ya Kibanda, kwa the principle ya "aliyekutwa na ngozi, ndiye aliyekula nyama!".

Dr. Mwakyembe alitumiwa assassins na waliconfess under video recorded kwa kuficha sura zao!, Dr. akaupeleka huo mkanda (DVD) kwa Mkuu wa TISS, IGP na kusambaza copy kwa baadhi ya balozi ili just incase anything happens to him, wabaya wake wachukuliwe hatua!. Huyo porpotes assassin aliwataja waliomtuma na kutoa all details!. Hiyo confession ilipatikana kwa ahadi kuwa Dr. hatamchoma kwa polisi. Polisi wameipokea na hawakumhoji yoyote kati ya hao wabaya waliotajwa, wala hawakufanya uchunguzi wowote eti mpaka kwanza Dr amtaje huyo assassin, Dr. aligoma and nothing was done!, likaja tishio la ajali, Dr akapiga kelele polisi did nothing!, likaja tishio la sumu!, they did nothing!, ila hili la video tuu ya Rwakatare!, they are now doing everything!.

How long sisi wananchi tutaendelea kutolerate this double standard ya jeshi letu la polisi?.

God Knows!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Pasco.
 
Huyo Marcosy ni MSENGEnyaji sana, watoto wetu walivyofelishwa na akina kawambwa mbona hakuonekana...!?
 
Kama anataka Lwakatare ajiuzuru basi pia uongozi wote wa juu wa CHADEMA ujiuzuru pending court case kwa sababu Lwakatare alikuwa anafanya kile ambacho kimekuwa sactioned by CHADEMA machinery.

Huwezi ukawa na kiongozi wa juu mwenye fikra za KISHETANI na systematically anafanya mambo ya KISHETANI bila party high office kufahamu otherwise hiyo ofisi itakuwa haina kiongozi makini.

Alichokuwa anakifanya Lwakatare ni methodical organised.
We umeshamhukumu Lwakatare kwamba anahusika na katumwa na viongozi wake. Kesi iko mahakamani subiri mtakavyoumbuka. Kumbuka Mungu naye yupo kuwaumbua waovu wanaowasingizia watu wema uovu.
 

Mkuu Azipa,
Nakubaliana na wewe, kwa asilimia 100% kuwa kama raia mwema, unapojua jinai inataka kutendeka/imetendeka, unapaswa kutoa ripoti kwenye vyombo husika!. Kitendo cha kutoripoti ni kosa kisheria na unapaswa sio kuunganishwa "accesory" bali kwa kosa jingine dogo zaidi!. Hata hivyo, kuna watu wenye kinga ambao hata ukijua, na hujaripoti, hupaswi kushitakiwa, wala kutumiwa kama shahidi. Watu hawa ni Mke na mume na mzazi na mtoto, mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, padri na muumini wake na mwanasheria na mteja wake!, hii inaitwa "fidutiary relationship".

Yaani mke hata akijua mumewe ni jambazi, hatarajiwi kushitakiwa na hata mumewe akishikwa, mke anapewa kinga ya kutolazimika kuja kutoa ushahidi, unless mke akiamua mwenyewe kumripoti mumewe kwa usalama wake, maana anaweza kuogapa kuwa siku moja anaweza kushikwa na kuuwawa!.

Padri na muumini, mfano unaweza kukuta watesaji wa Dr. Ulimboka, Kibanda na wauawaji wa Prof. Jwani Mwaikusa, au wauaji wengine wowote, usikute walishaenda kanisani na kutubu madhambi yao kwa padri, hivyo anawajua, japo serikali inasisitiza mwenye taarifa alete, huyo padri licha ya kujua kwa kutopeleka taarifa yoyote, anakinga ya kutoshitakiwa, na hata zawadi ikitangazwa, akijitolea kuripoti, hatapaswa kuitwa kama shahidi!. Vivyo hivyo kwa daktari na mteja wake, mwalimu na mwanafunzi na mwanasheria na mteja wake.

By now, Rwakatare, ameisha waambia kila kitu mawakili wake, A-Z, mawakili wake japo wanaujua ukweli halisi, bali ndio hao humshawishi mteja wao kukana kila kitu kwa sababu mfumo wetu wa sheria ni wa Mwuingereza, "innocent until proven guilt" na "the burden of proof lies with the prosecution" hivyo waipe serikali task ya "to prove beyond reasonable doubt" ile "astus reus" na "mens rea" ya jinai ya njama za utekaji nyara, imefanyika!. Ndio maana kuna wahalifu wengi tuu wanaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha huku kiukweli wameitenda wao ile jinai husika!.

Mara tuu baada ya tukio la kibanda, nilipandisha uzi kuhusu TISS yetu ilvyo hovyo hovyo modes wakaibania!, nilisema kitendo cha Mwingulu kutangaza anayo video ya mikakati ya chadema kupanga mauaji, alipaswa kutiwa ndani kuisaidia polisi kwa kitendo tuu cha kuutangazia umma, bila kwanza kulishirikisha jeshi la polisi!.

Nilisema kitendo cha Membe, kutangaza maadui 11 na kuwa "ole wao", tiss walipaswa kuwajia ni kina nani, na chochote kibaya kikiwatokea, the first suspect shuld have been Membe!. Kwa vile alisema kuna waandishi wawili, in case Kibanda was one off, Membe alipaswa awe ndani kuisaidia polisi!.

Nliwahi kusema humu jinsi jeshi letu la polisi lilivyo ovyo ovyo, hii kesi ya Rwakatare ni ushahidi wa wazi wa double standards, niliuliza kama kwa Ulimboka hadi majina walipewa, and they did nothing!, what chances kwamba kwa Kibanda they'll do something?!. Hivyo walipoimata tuu hiyo video, (japo naendelea kuisisitiza ni "bonafide genuine"), sasa ndio wamepatia "scape goat" wa maroroso yao, tena msishangae mashitaka yakibadilishwa na kumuunganisha ya Kibanda, kwa the principle ya "aliyekutwa na ngozi, ndiye aliyekula nyama!".

Dr. Mwakyembe alitumiwa assassins na waliconfess under video recorded kwa kuficha sura zao!, Dr. akaupeleka huo mkanda (DVD) kwa Mkuu wa TISS, IGP na kusambaza copy kwa baadhi ya balozi ili just incase anything happens to him, wabaya wake wachukuliwe hatua!. Huyo porpotes assassin aliwataja waliomtuma na kutoa all details!. Hiyo confession ilipatikana kwa ahadi kuwa Dr. hatamchoma kwa polisi. Polisi wameipokea na hawakumhoji yoyote kati ya hao wabaya waliotajwa, wala hawakufanya uchunguzi wowote eti mpaka kwanza Dr amtaje huyo assassin, Dr. aligoma and nothing was done!, likaja tishio la ajali, Dr akapiga kelele polisi did nothing!, likaja tishio la sumu!, they did nothing!, ila hili la video tuu ya Rwakatare!, they are now doing everything!.

How long sisi wananchi tutaendelea kutolerate this double standard ya jeshi letu la polisi?.

God Knows!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Pasco.

unauma na kupuliza mkuu Pasco
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuwa hii kesi inaonekana ni kesi ya kutungwa hakuna haja Lwakatare kujiuzulu. Akijiuzulu waliowatuma kina Ludovick, Mwampamba na wengine watakuwa wamefanikiwa katika propaganda yao. Najua mtu akifanya kosa kuna haja ya kujiuzulu lakini ukweli hii ni kesi ya kisiasa zaidi. Ukiona mtu mwenye makosa ya kawaida kabisa anafunguliwa mashitaka ya ugaidi ujue kuna bundi yuko nyuma ya kesi hii.
Kwa kuwa lengo lao ni kuichafua CDM akijiuzulu pamoja na kwamba ni njia nzuri ya kuonyesha uwajibikaji lakini kwa hapa itakuwa ni kuwaachia waovu wenye malengo mabaya na taifa letu kuendeleza propaganda za kutugawa na kutukatisha tamaa kudai Tanzania iliyoendelea kiuchumi na kidemokrasi.
Kwa kuwa mwelekeo wa kesi hii imeshaanza kuwageuka ccm na mawakala wake kinachotakiwa ni kukomaa na kuondoa giza la uongo walilotaka kutuletea juu ya uaminifu wa chama kinachoonekana kuonyesha mwanga katika kuleta mabadiliko katika nchi yetu CDM. Ni wazi ccm hapa walicheza propaganda mbaya mno kwa CDM kuliko zote walizowahi kuzitunga. Wengi walianza kuonyesha mashaka kwa CDM na ndio lilikuwa lengo la walioweka ile picha kwenye youtube. Ni wazi ukweli utakapojulikana kwenye hii kesi itaiimarisha CDM kuliko walivyodhani ccm. Kwa hiyo hakuna haja kurudi kule tulikoanza kutoka baada ya mwanga mdogo kuanza kuonekana kuwa ni picha ya kutungwa na mhusika mkuu ni Mwigulu Nchemba.
 
Na Albinei Marcossy Wa Taasisi ya Raia na Haki za kisiasa na mwenendo wa Bunge( CPRW) amemtaka Mkuu wa usalama wa CHADEM wilfred Lwakatare kujiuzulu mara moja ili kupisha uchunguzi huru kwa jeshi la polisi.Pia kujiuzulu kwake kutasaidia kukiepusha chama na kuchafuka machoni kwa waanchi.
Kupitia Vyombo vya habari amesisitiza kuwa,Kitendo cha Lwakatare kuendelea kuwa mkuu wa usalama wa chadema na huku anamashitaka ya Ugaidi ni doa kwa chama na hakuleti picha nzuri kwa kuzingatia misingi ya utumishi.

Hakuna sababu yoyote ya msingi itakayo mfanya Lwakatale ajiuzulu.kwa sababu Lwakatele hajaifanyia kosa lolote CHADEMA wala CHADEMA haiamini kama Lwakatale amefanya kosa kama hilo ndiyo maana hakuna hata mwana CHADEMA yeyote awe kiongozi au mwanachama yeyote aliyekiri kuwa Lwakatare amefanya kosa hilo.CHADEMA inacho kiamini ni kwamba hiyo video na makosa yote anayoshitakiwa ni mchongo wa CCM na vyombo vyake vya usalama ndiyo maana mtuhumiwa kashitakiwa kwa kosa la ugaidi.Ugaindi ambao haujatokea mahali popote Tz yaani hata ule wakutafutiza ili wambandike nao imeshindikana ni sawa na jambazi ukamshitaki kwa kosa la ujambazi kosa ambalo hakulifanya wala halikufanyika mahali popote.CHADEMA hawamupelelezi Lwakatale wanao mupeleleza Lwakatale ni serekali ya CCM kwa kutumia vyombo vyake vya dole. CHADEMA nao wanafanya kazi ya kuipeleleza serekali ya ccm na vyombo vyake vya dola ili kubaini kuwa ni mbinu gani waliyoitumia ili kufanikisha kuchonga mchongo huo na ninani aliyeagiza ili kumunufaisha nani na kwa lengo lipi.swala la kujiuzulu lwakatare ili kupisha upelelezi huru wa polisi kama ndiyo itakuwa tiba ya kupatikana ukweli ambaye anapaswa kujiuzulu si lwakatare tu ni pamoja na ccm na viongozi wake kwa sababu wote wanapelelezana na kila mtu anayo haki ya kufanya upelelezi huru bila kuingiliwa na mtu yeyote.
 
pumbavu tu huyu jamaa kalewa tu na vyeo vya kupewa na magamba. statisticaly show that this person is ccm member proven by 99% level of significance.

Samahani, statistical significance level a.k.a p-value inatakiwa iwe chini ya 0.5% ku prove hypothesis yako. Kwa mantiki hii utakuwa unatumbia kwamba statistically it is insignificant kusema kwamba jamaa ni magamba kwasababu p-value yake ni way above 0.5%.
 
unauma na kupuliza mkuu Pasco
Mkuu Nyakageni, siumi wala kupuliza bali nasimama kwenye kweli. Najua kila nikigusia tuu kuhusu "bonafide genuine" mlioaminishwa "its fake" na kuamini hivyo, lazima mtaniona mimi ndiye muongo!. Uzuri wa ukweli ndio huwa unasimama mpaka mwisho!.

Pia nilisha watotoa wasiwasi siku nyingi kuwa "bonafide genuine" sio tiketi ya kukubaliwa ushahidi mahakamani, kuna mlolongo mrefu wa kupokea ushahidi, kanisome hapa Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube ..., na hadi kufanyika "trial within trial" ili ku determine ushahidi fulani upokelewe au laa!.

Pasco.
 
Mkuu Azipa, ili kosa litendeke (actus reus), sio lazima action itake place, ule tuu uwepo wa nia ya kutenda jinai, (mens rea), na kupanga kuitenda "attempted abduction" ni kosa tosha, kama ilivyo "attempted murder" hata kama kifo hakikutokea. Kwa kesi ya Rwakarare, the "actus reus" yaani kitendo ni yale matamshi!. Hata mkimtishia mtu kwa maneno tuu "nitakuua!", tena kwa utani, kama kuna mtu jirani alisikia, uliemtishia akikushitaki, na shahidi akatoa ushahidi, unaweza kula mvua!.

Ya Kibanda ni mengine!, kwa vile kuna dots zinamconnect Kibanda na Ludo, ikitokea ni kweli Ludo has a role, kwa polisi wetu walivyo na uwezo mdogo, wanaweza kutumia "generalization" ya "aliyekutwa na ngozi, ndiye aliyekula nyama" hivyo msije shangaa kibao kikageuka!.

Ludo hayupo magereza kwa sababu za kuhojiwa, na hata aki confess pia nako ni kuhojiwa!, uwezekano wa kukiri na kugeuka witnes upo!. Wenye kumbukumbu ya ile kesi ya uhaini ya mwaka 82, mwanzo walikuwa washitakiwa 42, baadaye wakabaki 23, hao wengine wakafanywa ndio ma PW's.
Pasco.
Tuana kazi kweli na masalia. Lakini huu ni upepo tu.
 
MASALIA ndiyo nini?.

Kama wewe unalipwa vijisenti kutoka Mtaa wa Ufipa, usifikirie kila mmoja kama wewe.

Jibu hoja, kama huna hoja usiumize videlo vyako kwenye keyboard/keypad. Press NEXT.

videlo...!?? salia hilo
 
Back
Top Bottom