Habari wana-JF?
Leo majira saa 4 asubuhi bwana Lwakatare ambae ni mkurugenzi wa ulinzi na usalama CHADEMA atakuwa na mazungumzo na waandishi wa habari, ajenda ikiwa kuhusiana na sakata zima la kesi yake.
My take;
Huyu bwana Lwakatare akumbuke hayuko huru, ametoka kwa dhamana tu, pia najua kwa sasa huko CHADEMA kuna shehena ya watu walio bobea kwa siasa za majitaka na siasa uchwara.
Aidha, kwa siasa zao hizo 'reja reja' watamshinikiza huyu bwana Lwakatare aichafue CCM kwa makusudi kabisa kwamba imehusika na kuunda tuhuma hizo.
Rai yangu kwa bwana Lwakatare, asikubali kwa namna yeyote kushinikizwa kuwa suala la kesi yake ni la kichama, kama minong'ono mingi ilivyo.
Hili lilitokea hata mahakamani alivyo achiwa kwa dhamana, kwani kuna vijana wa CHADEMA walisikika wakisema mipango ya CCM imeshindwa.
Lwakatare, be smart.
Leo majira saa 4 asubuhi bwana Lwakatare ambae ni mkurugenzi wa ulinzi na usalama CHADEMA atakuwa na mazungumzo na waandishi wa habari, ajenda ikiwa kuhusiana na sakata zima la kesi yake.
My take;
Huyu bwana Lwakatare akumbuke hayuko huru, ametoka kwa dhamana tu, pia najua kwa sasa huko CHADEMA kuna shehena ya watu walio bobea kwa siasa za majitaka na siasa uchwara.
Aidha, kwa siasa zao hizo 'reja reja' watamshinikiza huyu bwana Lwakatare aichafue CCM kwa makusudi kabisa kwamba imehusika na kuunda tuhuma hizo.
Rai yangu kwa bwana Lwakatare, asikubali kwa namna yeyote kushinikizwa kuwa suala la kesi yake ni la kichama, kama minong'ono mingi ilivyo.
Hili lilitokea hata mahakamani alivyo achiwa kwa dhamana, kwani kuna vijana wa CHADEMA walisikika wakisema mipango ya CCM imeshindwa.
Lwakatare, be smart.