Unatokea/unaanzia safari wapi?Habari
Naomba wadau tunaopenda kusafiri mikoa mbalimbali Tanzania tushirikishane kampuni gani ya mabasi nzuri ya kwenda Kigoma.
Basi la Luxury,,
Saratoga naye hajaimprove?Hahahaha Luxury basi kwenda Kigoma?? Ni sawa na kuomba maiti damu! Hakuna kitu kama hicho, labda Adventure ile Yutong ila sio Luxury
Habari
Naomba wadau tunaopenda kusafiri mikoa mbalimbali Tanzania tushirikishane kampuni gani ya mabasi nzuri ya kwenda Kigoma.
Basi la Luxury,,
Bei gani?Kama huna haraka na uchumi unaruhusu panda treni 2nd class sleeping. Hua natumia hiyo.
Mmmghhhh hapana MpwaSaratoga naye hajaimprove?
Washazoea mabanda ya kuku hapo Kamata kkooKigoma na luxury bus wapi na wapi mkuu?
Bei gani?
Sawa mkuuMara ya mwisho nililipa kati ya 70k - 75k mwaka jana.
Bora hizi zinazoanzia dsm,kyna zile zinazoanzia arusha doh utafikili gari za vita aiseee
Kwanini mkuuBora hizi zinazoanzia dsm,kyna zile zinazoanzia arusha doh utafikili gari za vita aiseee