Luteni Makamba:Kaburi la CCM

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,256
Makamba2.jpg


Siyo siri, kwa sasa hivi CCM inavuna kile Katibu wake Mkuu alichopanda.
Luteni Makamba, Katibu Mkuu wa CCM amekifikisha chama katika wakati mgumu pengine kuliko wakati wowote tangu kuzaliwa kwake mwaka 1977.
Wengi tulio wana CCM tulijiuliza ina kuwaje huyu jamaa wa cheo kidogo jeshini angeweza kuhimili asasi hii kubwa ya kisiasa.
Lazima tukumbuke kuwa kwanza Luteni ni cheo ambacho ni cha platoon commander, luteni anaongoza watu si zaidi ya 12.
Makamba kielimu hayuko juu sana , hivyo basi hata kwa uzoefu yeye si strategist, siyo political thinker, wala si administrator wa kutumainiwa.

Madudu yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi ni ya kutia aibu kwa chama kikongwe kama CCM.
Siyo siri vile vile kuwa kwa kukosa usomi katika CCM,chama hakina sera wala dira inayoeleweka, hivyo basi chama kinaondokewa kwa wingi na vijana hasa wa rika la chini.
It is no longer mass party.
CHADEMA , chama kidogo sana , kimeweza kwa ustadi mkubwa kuamsha hisia za vijana wengi , na kuonekana kama tegemeo la wanyonge.
Wengi wetu tulivutiwa na slogan ya Ari mya,Nguvu mpya na Kasi mpya.This unfortunately was hot air which did not feature in any plans or strategies.

Makamba amekumbatia makundi fulani ambayo ni dhahiri hayana mvuto kwa jamii-na kundi hilo ni kundi la mafisadi.
Sura ya chama inaanza kujigeuza kuwa ni kundi la watu wa aina fulani.Siyo siri kuwa Lowassa, Rostam,Chenge na wengine wa mlengo huo ndio wanaoua sura ya chama katika jamii.
Siasa huwa haina mahakama, mahakama yake ni wananchi.
Ni wazi vile vile JK amegutuka, ingawaje hatujui kama amechelewa au la. Matukio ya Uchaguzi mkuu na uteuzi wake wa baraza la mawaziri ni kielelezo tosha juu ya kugutuka huko.
Ni juu ya mwenyekiti wa CCM kuchukua uamuzi mzito kabla 2015 kukiokoa chama.
But well, what the heck!!
Hata Mwalimu alisema CCM si mama yangu!
But it is sad to see a good party machinnery go to waste.
Makamba , kaburi la CCM!
 
nenda hoteli yake iliyo morogoro inaitwa Mount Usambara Resort ndio utajua huyu jamaa hana uwezo wa kuendesha mambo properly...
 
Unatukumbusha au kwako ndio wazo jipya? ulikuwa wapi kujua mambo haya mbona ume chelewa sana kujua,lakini kwa vile wewe ni CCM ndio maana Nyani haoni......Hivi ulidhani mmeshindwaje uchaguzi mwaka huu mpaka mkaamua kuwa vibaka na kupora ushindi wa CDM? poleni sana nikuongezee nalingine amba huja jua bado Mwenyekiti wenu amekuwa mwasisi wa udini nchini sijui mtaponea wapi? poleni sana
 
Kwali hiki chama kimebaki kama kichekesho, kama rais haijapita mwezi tangu kuapa kuwa rais, kamteua waziri aliyeruhusu peasa za EPA na meremeta kuibiwa eti mbunge wa kuteuliwa!! hii inatoa picha gani kwa kikwete???

Bado anatapatapa tu, hamna kitu hapa, bado mshikaji wa makamba, tatizo ni kwamba hakumzawadia uwaziri mtoto wa makamba.
 
ukweli uteuzi wa mh yule ni aibu. hata kama wako karibu vipi bado wale wa mama wawili hawakuhitajika. ndo mistake wanayofanya bila kuelewa ama kwa kuelewa na kukaidi. yetu macho na masikio.
 
''Lazima tukumbuke kuwa kwanza Luteni ni cheo ambacho ni cha platoon commander, luteni anaongoza watu si zaidi ya 12.'' Umeongea mengi yapo mazuri ambayo yanaonesha picha ya Makamba lakini hapo kwenye cheo cha Luteni anaongoza watu 12 u r wrong usiwapotoshe watu.

Tafuta wakati uwaulize au fanya uchunguzi kabla ya kutudanganya!
 
Unatukumbusha au kwako ndio wazo jipya? ulikuwa wapi kujua mambo haya mbona ume chelewa sana kujua,lakini kwa vile wewe ni CCM ndio maana Nyani haoni......Hivi ulidhani mmeshindwaje uchaguzi mwaka huu mpaka mkaamua kuwa vibaka na kupora ushindi wa CDM? poleni sana nikuongezee nalingine amba huja jua bado Mwenyekiti wenu amekuwa mwasisi wa udini nchini sijui mtaponea wapi? poleni sana

udini udini udinh udini mwanangu herii herii mtangulie peponi muiache TZ yenye watu poor but happy!
 
Makamba Ndio picha Halisi ya ccm usimlaumu yeye maana wenyewe wanamwamini
 
U
Unatukumbusha au kwako ndio wazo jipya? ulikuwa wapi kujua mambo haya mbona ume chelewa sana kujua,lakini kwa vile wewe ni CCM ndio maana Nyani haoni......Hivi ulidhani mmeshindwaje uchaguzi mwaka huu mpaka mkaamua kuwa vibaka na kupora ushindi wa CDM? poleni sana nikuongezee nalingine amba huja jua bado Mwenyekiti wenu amekuwa mwasisi wa udini nchini sijui mtaponea wapi? poleni sana
Mkuu naona unalitazama tatizo la CCM kiunazi zaidi kuliko kuwa analytical.
Matatizo uliyoyagusia ni symptoms za tatizo lenyewe.Macho yakigubikwa na unazi, si rahisi kuchambua mambo,au kama blogu inavyosema Great Thinking.
 
...........................

Madudu yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi ni ya kutia aibu kwa chama kikongwe kama CCM.
Siyo siri vile vile kuwa kwa kukosa usomi katika CCM,chama hakina sera wala dira inayoeleweka, hivyo basi chama kinaondokewa kwa wingi na vijana hasa wa rika la chini.
It is no longer mass party.
CHADEMA , chama kidogo sana , kimeweza kwa ustadi mkubwa kuamsha hisia za vijana wengi , na kuonekana kama tegemeo la wanyonge.
Wengi wetu tulivutiwa na slogan ya Ari mya,Nguvu mpya na Kasi mpya.This unfortunately was hot air which did not feature in any plans or strategies.....
Lole
Binafsi sidhani Madudu ya ccm au mtokeo yakutia moyo ya CHADEMA yaliyojitokeza kwenye uchguzi ulioisha yanatokana moja kwa moja na Utendaji mbovu wa Wana CCM walioko CCM

Matokeo mabovu yaliyotokea ni matunda Utendaji wa kisanii wa wana CCM walioko serikalini. JK ambaye ni mwenyekiti mwenyewe ndiye wa kubeba lawama. Hata Philip mangula angekuwa ni katibu mkuu bado kwa sanaa za JK matokeo yasingekuwa tofauti. CCM ina loose touch na wananchi sababu invyoshughulikia UFISADI.

JK badala ya kuweka watu makini wa kufukia weakness zake anaweka watu wenye weakness kama zake.

So to me Makamaba has nothing to do with this years election result. Inawezekana kweli Makamba sio strategist sasa waht abaou JK. what abaout washauir wake aliowaweka karibu.???!!

Otherwise kama nikikubaliana na kichwa cha habri yako basi naongeza maneno machache
Re: Luteni Makamba:Kaburi la CCMn na JK ni Jeneza
 
''Lazima tukumbuke kuwa kwanza Luteni ni cheo ambacho ni cha platoon commander, luteni anaongoza watu si zaidi ya 12.'' Umeongea mengi yapo mazuri ambayo yanaonesha picha ya Makamba lakini hapo kwenye cheo cha Luteni anaongoza watu 12 u r wrong usiwapotoshe watu.

Tafuta wakati uwaulize au fanya uchunguzi kabla ya kutudanganya!
Mkuu naona wewe uelewa wako wa masuala haya mi finyu.
A Platoon is the smallest military unit led by a commisioned officer,a leutenant.Idadi ya askari katika
platpon inategemea division ya jeshi na aina ya mashambulizi.
Lwa vyovyote vile luteni ni cheo cha pili toka mwisho katika majeshi.
Naamini mkuu hujapitia ingaau JKT kukua mambo haya.
Kuongeza uelewa wako pitia Wikipedia.
 
Mkuu naona wewe uelewa wako wa masuala haya mi finyu.
A Platoon is the smallest military unit led by a commisioned officer,a leutenant.Idadi ya askari katika
platpon inategemea division ya jeshi na aina ya mashambulizi.
Lwa vyovyote vile luteni ni cheo cha pili toka mwisho katika majeshi.
Naamini mkuu hujapitia ingaau JKT kukua mambo haya.
Kuongeza uelewa wako pitia Wikipedia.

Jamani na kacheo ka kopro na staff sajenti katakuwa wapi? Au ndo sawa na makuruta????
 
Hivi mzee ana level gani ya elimu? I know he used to be a primary teacher back 20 years, sasa sijui alijiendeleza kielimu au la?
Kama kuna mwenye CV ya dingi aiweke jamvini? I think dogo wa Bumbuli could be of assistance.
 
CCM ilipofika sasa hakuna jinsi, ni kubadilika. Baadae itakuwa ngumu kwao kushika dola hata kwa mtutu wa bunduki. Times change! Kwanini CCM haioni sababu ya kuachana na makada wasio na mvuto ili kuendelea kushika dola?????
 
Jamani na kacheo ka kopro na staff sajenti katakuwa wapi? Au ndo sawa na makuruta????

Bora umeuliza swali Zuri maana kuna vyeo Vingi sana hapo kwenye kufika cheo cha Uluteni sasa bwana Lole ebu tuambie hao wengine wapo wapi?
 
Makamba2.jpg


Siyo siri, kwa sasa hivi CCM inavuna kile Katibu wake Mkuu alichopanda.
Luteni Makamba, Katibu Mkuu wa CCM amekifikisha chama katika wakati mgumu pengine kuliko wakati wowote tangu kuzaliwa kwake mwaka 1977.
Wengi tulio wana CCM tulijiuliza ina kuwaje huyu jamaa wa cheo kidogo jeshini angeweza kuhimili asasi hii kubwa ya kisiasa.
Lazima tukumbuke kuwa kwanza Luteni ni cheo ambacho ni cha platoon commander, luteni anaongoza watu si zaidi ya 12.
Makamba kielimu hayuko juu sana , hivyo basi hata kwa uzoefu yeye si strategist, siyo political thinker, wala si administrator wa kutumainiwa.

Madudu yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi ni ya kutia aibu kwa chama kikongwe kama CCM.
Siyo siri vile vile kuwa kwa kukosa usomi katika CCM,chama hakina sera wala dira inayoeleweka, hivyo basi chama kinaondokewa kwa wingi na vijana hasa wa rika la chini.
It is no longer mass party.
CHADEMA , chama kidogo sana , kimeweza kwa ustadi mkubwa kuamsha hisia za vijana wengi , na kuonekana kama tegemeo la wanyonge.
Wengi wetu tulivutiwa na slogan ya Ari mya,Nguvu mpya na Kasi mpya.This unfortunately was hot air which did not feature in any plans or strategies.

Makamba amekumbatia makundi fulani ambayo ni dhahiri hayana mvuto kwa jamii-na kundi hilo ni kundi la mafisadi.
Sura ya chama inaanza kujigeuza kuwa ni kundi la watu wa aina fulani.Siyo siri kuwa Lowassa, Rostam,Chenge na wengine wa mlengo huo ndio wanaoua sura ya chama katika jamii.
Siasa huwa haina mahakama, mahakama yake ni wananchi.
Ni wazi vile vile JK amegutuka, ingawaje hatujui kama amechelewa au la. Matukio ya Uchaguzi mkuu na uteuzi wake wa baraza la mawaziri ni kielelezo tosha juu ya kugutuka huko.
Ni juu ya mwenyekiti wa CCM kuchukua uamuzi mzito kabla 2015 kukiokoa chama.
But well, what the heck!!
Hata Mwalimu alisema CCM si mama yangu!
But it is sad to see a good party machinnery go to waste.
Makamba , kaburi la CCM!

Sema Baba seeemaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom