Hawa watu wanaojidai kuwa wenzao wanalea watoto wao, wakati wenyewe hawana cha kuonesha, wengi wana bunduki zisizo na risasi. Ukimuuliza mbona hadi leo yuko single (mvua kibao) anakwambia mie wanawake nawaona noma eti kwa sababu nimezaa na wengi ni wake za watu.
Ogopa sana watu wanaojinasibu na vistori vya namna hii. Wengi hawajiwezi kabisa au kama wanajiweza wanajijua bunduki zao ni mlio tu, hivyo wanaogopa siku wakiingia kwenye ndoa mambo yatabumbuluka. Kwa hiyo wanabaki ni wazee wa stori tu mtaani.
ahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahahahahah like father like son...ahahahahahaha