Lusinde: Sisi wabunge tulipitisha Sheria tu lakini Kiwango(cha tozo) kilipangwa na Wizara ya Fedha

Huyu mpuuzi kwetu hawezi kuwa hata diwani..Wagogo mnafeli wapi majitu Kama haya ya nini...
 
Nakuelewa mkuu.

Hapo kwenye kanuni ndio shida ilipo, wizara zinajificha kwenye kanuni.

Kama wawakilishi wa wananchi wangekua makini basi wangeweka floor na glass ceiling that no body is allowed to break, hata kama kanuni zinatungwa basi zifuate sheria hiyo yenye ceiling.

Sasa wabunge hawajui waziri atakuja kuwatoza wananchi zao kiasi gani huoni hapo kuna shida?

Yaani wabunge wamekua surprised kama sisi wananchi, hao ni wabunge ama genge la wahuni?

Maana yake ukimuuliza mbunge wako uliweka sahihi kwa niamba yangu mwananchi nitozwe kiasi gani, hajui, sasa alipitisha nini?
Mkuu asante kwa ufafanuzi, hata hivyo changamoto ya hizo tozo haikutokana na kwamba Wabunge kupitisha sheria tu bali kinachoonekana ni kutokuwa na Wabunge wanaoweza kufanya uchambuzi wa kimantiki (Critical Analysis) ili kujua effects za sheria wanayoitunga.
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.

View attachment 1879248
Kibajaji kumbe kama akili kuliko waliosoma zaidi yake na wengine ma bosi wake
 
Hili nilishalishtukia kitambo sana, sheria kama sheria haiwezi kupitisha viwango vya tozo........viwango vya tozo vinakuwa determined na wizara, ndo maana waziri ana mamlaka ya ku-review hivyo viwango bila hata kulishirikisha bunge. Mimi nimelijua hili siyo mwanasheria, lakini waziri na yule Msigwa wanadanganya kwamba huwezi kubadili viwango eti vimeshapitishwa na sheria ya bunge. Wanadanganya wazi utafikiri nchi haina watu waliosoma sheria, viwango vya tozo mara zote vinawekwa kwenye jedwali (schedule) na waziri ana mamlaka ya kuvipitia upya.......
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.

View attachment 1879248
Tuliwaambia kuwa nyinyi wabunge wa CCM, kazi yenu pekee ni kupiga makofi kwa kuyaunga mkono yale yote yanayoletwa na serikali, hata kama yataleta madhara makubwa Sana kwa wananchi.

Mmeona sasa mnaanza kupingana wenyewe kwa wenyewe!
 
Wao kama wabunge hawakuuliza wizara kiwango cha makato?

Waliipa wizara kupanga viwango wanavyotaka?

Sasa walijadili nini kama hawakujua viwango vitakavyokatwa?

Ni sawa na uweke signature kwenye open cheque halafu umpe ruhusa mhasibu aandike kiwango anachotaka, atafanya anavyotaka tu na lawama zitakurudia wewe ulieweka sahihi.

Nadhani Lusinde anaupigamwingitu, haiitajiki elimu kubwa kwa mbunge kujiuliza maswali hayoapo juu haya majitu yakisha chaguliwa yanajitoaga akilitu makusuditu.
 
Back
Top Bottom