Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,060
- 11,107
Hatukumnyonga, tulipitisha tu hukumu ya kunyongwa.Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (MNEC) na Mbunge wa Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amefunguka kuhusu makato ya miamala katika simu za mikononi ambapo amedai Bunge wao walipitisha sheria na kiwango kilipagwa na Waziri wa Fedha.
View attachment 1879248