englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
sasa mnategemea nini darasa l saba kama lusinde upeo wake utaishia pale ambapo........ wake unapishia.Inasikitisha na kufadhaisha sana mtu wa aina ya Lusinde kumwita "jembe"!
sasa mnategemea nini darasa l saba kama lusinde upeo wake utaishia pale ambapo........ wake unapishia.Inasikitisha na kufadhaisha sana mtu wa aina ya Lusinde kumwita "jembe"!
Huyu Lusinde ni mbunge jina tu, coz hajui hata katiba ya nchi
Polisi wetu kwa sasa wamebadilika sana. Hongera jeshi letu la polisi kwa reform kubwa inayoendelea. Wapigwe tena kwa sana tu wasababishaji. Kisha wapelekwe mahakamani na wakibainika kuhusika na wafungwe tu. tuige mfano wa Rwanda japo hatuwapendi
Hicho mnachokishabikia wewe Lizaboni na mwenzio lusinde mtakuja kukijutia siku kila kituo cha television kitakapoweka title mbele.Tanzania unrest»Tanzania crisis»nk nk, mkeo na watoto wenu(hasa wako lizaboni)watakuwa wameshachinjwa kama kuku!mkeo atakuwa keshafanyiwa kila aina ya ukatili wa kufisha,mama yako mzazi huko kijijini kwenu atakuwa ni kifusi cha udongo tu,kwani atafia peupe kwa njaa na kiu na maradhi na hatapata wa kumzika,kwani wenye nguvu wote watakuwa wameshakimbiza roho zao,na mama yako kwa kuwa ana matatizo ya miguu na uzee hatakuwa na pa kukimbilia zaidi ya kusubiria mauti,wakati unafurahia wengine kupigwa na kuuawa na polisi bila ya makosa yanayostahili adhabu hizo jaribu pia kuwafikiria ndugu na jamaa zako utakaokuwa umewaacha pindi yatakapokukuta wewe yle yaliyowakuta kina mwangosi na muuza magazeti wa morogoro,kwani hawa unaoshabikia wauwawe kikatili leo watakuwa kweli wameshauwawa na kuzikwa,ila wewe kwa kuwa ni jasiri na mwenye nguvu unayelindwa kwa bunduki za watawala utakuwa bado u hai,ukisubiria zamu yako pia,na litakapo kufika wewe waombolezaji watakuwa tayari wamekwisha kutangulia mbele za haki,kwa ukatili wenu,kumbuka ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga!! Zamu yako inakuja,tafakari.
Ukiwa na akili timamu ni lazima ujizuie kuongea upuuzi kama huu alioongea Lusinde, hata kama ndani ya moyo wako unatamani kusema hayo.
Kwa kawaida mwenye akili timamu hujiandaa kwanza kuzungumza mbele ya hadhara. Kauli zisizo na hekima huweza kubomoa yeyote hata kama amejijenga namna gani.
Hakika kauli za namna hii za viongozi huchochea sana wananchi kuamua kujibu mapigo. Sitashangaa kuona polisi wakianza kushambuliwa na wananchi.
Ova
Kwa sasa baadhi ya Wabunge ni vichaa ebu oneni hii.
Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwa.
Lusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni wanakuwa na hamsha hamsha ili wafikiriwe
Lusinde: Nawashauri wapiga debe mkiona watu wanaandamana magari hayatembei hampati pesa na nyinyi andamaneni.
Sadifa: Mnasema Lipumba kapigwa, hajapigwa hapo, kaguswa tu, huwezi kumlinganisha Lipumba na Kikwete.
East Africa Television (EATV)
Mbowe na sugu wana elimu gani zaidi ya lusinde?
Kwa sasa baadhi ya Wabunge ni vichaa ebu oneni hii.
Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwa.
Lusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni wanakuwa na hamsha hamsha ili wafikiriwe
Lusinde: Nawashauri wapiga debe mkiona watu wanaandamana magari hayatembei hampati pesa na nyinyi andamaneni.
Sadifa: Mnasema Lipumba kapigwa, hajapigwa hapo, kaguswa tu, huwezi kumlinganisha Lipumba na Kikwete.
East Africa Television (EATV)
Hongera IGP Mangu, Polisi sasa inatimiza wajibu! Naomba wasiishie kuwapiga tu, Wapige na Kuburuta""!
mi huwa nawashangaa hao wanaompigia makofi qakati anaongea pumba zake...sijui yamelogwa?