Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Mtulia wakati akiwa upinzani alikosa ushirikiano na Rais na Waziri Mkuu ambao ni chama tawala chenye ilani inayotekelezwa ndio maana matatizo yenu yalikuwa hayatatuliwi.
Pale bungeni kuna vikao vya vyama ambapo kwenye kikao cha wabunge waCCM ndipo tunagawana miradi kwenye majimbo yetu chini ya uongozi wa waziri mkuu, baada ya hapo tunarudi bungeni kupitisha:
Livingstone Lusinde Kampeni za Ubunge Kinondoni Leo