Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,758
- 71,139
Tumeshuhudia leo hii yule Mbunge mashuhuri kwa kusema bila kufikiri bw Lusinde akibwabwaja maneno ya hovyo hovyo huku akishangiliwa kwa nguvu na wabunge wengi wa CCM pamoja na mawaziri.
Hili limenishangaza sana kuona pamoja na kuelewa jinsi Lusinde anavyo kiharibia chama chao katika jamii ya watanzania bado wanadirika kumshangilia bila aibu wala woga.
Jee hii inaweza kuwa mikakati iliyowekwa na Chama kumtumia Lushinde kwa vile anaweza kuzungumza lolote bila aibu kuutukana upinzani na wabunge hata wale makini kulazimishwa kumpa support?
Hili limenishangaza sana kuona pamoja na kuelewa jinsi Lusinde anavyo kiharibia chama chao katika jamii ya watanzania bado wanadirika kumshangilia bila aibu wala woga.
Jee hii inaweza kuwa mikakati iliyowekwa na Chama kumtumia Lushinde kwa vile anaweza kuzungumza lolote bila aibu kuutukana upinzani na wabunge hata wale makini kulazimishwa kumpa support?