Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu amini mie sikuwa nafahamu kama kenya na south afrika kuwa wanayo katiba mpya katibu kwa kutolea mifano hiyo niliamini kuwa sasa watanzania tunajengwa kisaikorojia ili lolote litakalo tokea wala lisiwe geni kwetu.Niamini labda mleta uzi huu ameongeza chumvi, lakini kama ni kweli huyu kijana kasema maneno haya basi huyu Nape ni chizi tena chizi haswa.
Hivi huyo mnampa attention bado?
Bado unatembeaga na sumu?