Mbunge Lusinde kasema ni makosa kumuita mtoto aliyezaliwa haramu,bali kitendo wazazi wake walichofanya ndicho chaweza kuitwa haramu maana mtoto yule hakuandika barua ili azaliwe.Hivyo kumuita haramu ni kumbagua na ni makosa ya unyanyasaji kama makosa mengine.
Wadau naleta mada mezani tuijadili kama kuna ukweli au lah?
Wadau naleta mada mezani tuijadili kama kuna ukweli au lah?