Katika mambo ambayo yalidhiliisha kuwa elimu ni kigezo muhimu kwa mbunge wa bunge letu la Tanzania, baadhi ya wabunge walishindwa kabisa kutoa michango ya kujenga hoja either kwa kutumwa au kutokana na elimu mbovu waliyonayo bwana lusinde maskini alinisikitisha lakini nilifanikiwa kujua shida yake baada ya halima mdee kueleza kuwa hajui lugha ya kiingereza na anachoongea kalishwa utumbo tu na muhoongo.
Wabunge wengine kama mama kisangi na assumpta mshana mwishoni walikuwa wanaona hata aibu tv ikiwaonyesha kwa jinsi walivyoongea mambo ya aibu.
Wabunge wengine kama mama kisangi na assumpta mshana mwishoni walikuwa wanaona hata aibu tv ikiwaonyesha kwa jinsi walivyoongea mambo ya aibu.