Lazima uumie yani uswahilini elimu bado yaani kila kitu wanashangilia..wanaweza hadi kutukanwa lakin bado wakashangiliaNa pumba aliyoongea utakuwa kuna wa tz wanapiga vigegele.. unaweza inamisha kichwa chini ukavunjika moyo kwakweli.
Nashindwa kuelewa kwanini hawana hata mshipa wa aibu kuyanena hayo majukwaani.Unadhani mtu kama Lusinde akipewa kipaza sauti ataongea nini zaidi ya hayo aliyoyaongea? Na huo ndio msimamo wa awamu ya tano, ubaguzi ni ajenda kuu. Utadhani kodi zinalipwa na wanaCCM peke yao.
Kama mbunge wa jimbo lako ameikataa bajeti unapewaje maendeleo ?Unapewa maendeleo kwa bajeti ipi?
Hakuna lolote na mwekiti wao kichaa...alitunyima ajira kwa makusudi 2016 akisema tusubiri mwezi mmoja au mmoja nanusu kumbe alikuwa na machuki yake binafsi eti kisa wanachuo walikuwa wanampinga lakini wapi tupo tunadunda tu .. sana sana ameongeza chukitu... 2020 tutampinga hazarani mchana kweupeeeeLkn naamini kuwa mwisho wake utakuja kuwa ni majuto na kusaga meno na kilio kukubwa sana
Huo ndio msimamo tunao utegemea kutoka kwa wasomi wetu maana taifa lolote linakombolewa na wasomiHakuna lolote na mwekiti wao kichaa...alitunyima ajira kwa makusudi 2016 akisema tusubiri mwezi mmoja au mmoja nanusu kumbe alikuwa na machuki yake binafsi eti kisa wanachuo walikuwa wanampinga lakini wapi tupo tunadunda tu .. sana sana ameongeza chukitu... 2020 tutampinga hazarani mchana kweupeeee