Lushoto kunahitaji msaada

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,596
8,738
Nilipata bahati ya kutembelea Lushoto mwaka jana mwanzoni na kunahitaji msaada wa serikali. Ukitokea mombo mpaka Lushoto mjini ni kuzuri na kuna barabara lakini ukienda vijijini maisha ni magumu, hakuna maji, barabara wala umeme kwa ufupi ni porini!. Ni vigumu sana kwa wananchi kwani huwezi kuchumba visima kwenye milima mikubwa, na hata barabara ni mbovu sana. Serikali ningeshauri waweke barabara mpaka kule juu mlimani kuimarisha utalii na kusaidia wananchi va vilevile wasaidie kwenye kuleta maji na umeme.
 
Kwani kina Azizi washatosheka hadi serikali iwafanyie wananchi fadhila?
 
Nilipata bahati ya kutembelea Lushoto mwaka jana mwanzoni na kunahitaji msaada wa serikali. Ukitokea mombo mpaka Lushoto mjini ni kuzuri na kuna barabara lakini ukienda vijijini maisha ni magumu, hakuna maji, barabara wala umeme kwa ufupi ni porini!. Ni vigumu sana kwa wananchi kwani huwezi kuchumba visima kwenye milima mikubwa, na hata barabara ni mbovu sana. Serikali ningeshauri waweke barabara mpaka kule juu mlimani kuimarisha utalii na kusaidia wananchi va vilevile wasaidie kwenye kuleta maji na umeme.
Wazo zuri sana, tatizo wanaosikia wanajifanya hawaelewi!!
 
January Makamba angelishughulikia hili kuliko kuwaambia watu watume matatizo yao kwa kupitia sms si ujinga huu?? wangapi waliopo vijijini wana hizo simu. Kuwa mwendawazimu si mpaka uokote makopo kwa mtindo huu pia inafanana na uwendawazimu. Kwenda kawajengee watu wako hospitali shule sio msg. msg. sijui sms sms ili iweje? Huu upumb##%&*^&&* utaisha lini???????????
 
Nilipata bahati ya kutembelea Lushoto mwaka jana mwanzoni na kunahitaji msaada wa serikali. Ukitokea mombo mpaka Lushoto mjini ni kuzuri na kuna barabara lakini ukienda vijijini maisha ni magumu, hakuna maji, barabara wala umeme kwa ufupi ni porini!. Ni vigumu sana kwa wananchi kwani huwezi kuchumba visima kwenye milima mikubwa, na hata barabara ni mbovu sana. Serikali ningeshauri waweke barabara mpaka kule juu mlimani kuimarisha utalii na kusaidia wananchi va vilevile wasaidie kwenye kuleta maji na umeme.

This is a very good observation.I happen to come from Lushoto. The situation is desperate.Maji ni tatizo kubwa sana hasa kwa vile rains are hard to comeby in those once beautiful Usambara mountains.Katika vijiji kama Malindi,tarafa ya Mlalo, a bucket of water sells at T.sh.200. This is alot of money for those extremely poor people.Lakini ukweli ni kwamba, visima vinaweza kuchimbwa in some areas hasa za mabondeni.Mwaka huu hali itakuwa mbaya zaidi kwa vile water sources zote zimekauka.No, Lushoto pana hitaji marshal plan, hali ni mbaya sana.If nothing is done soon, si ajabu tukaanza kusikia incidences za vifo.
 
lushoto inasifika kwa kuwa na vyanzo vingi vya maji lakini leo ukienda inasikitisha, population ni kubwa mno na bado miundo mbinu ya maji ni ileile ya enzi nyerere. utafikiri hakuna wabunge, NAJUUUTA KUZALIWA LUSHOTO, but I'm proud to be a sambaa.
 
Mkuu the situation is the same for almost all rural areas of TZ!

You happened to be in Lushoto,but what is so special about the difficulties and problems faced by fellow countrymen in Lushoto,that would need government's urgent actions?
 
January Makamba angelishughulikia hili kuliko kuwaambia watu watume matatizo yao kwa kupitia sms si ujinga huu?? wangapi waliopo vijijini wana hizo simu. Kuwa mwendawazimu si mpaka uokote makopo kwa mtindo huu pia inafanana na uwendawazimu. Kwenda kawajengee watu wako hospitali shule sio msg. msg. sijui sms sms ili iweje? Huu upumb##%&*^&&* utaisha lini???????????

Wananchi kule Lushota na Tanga yote kwa jumla wao ndio kijani/CCM damu. Kwa hiyo mimi nafikiri we achana nao hadi wenyewe watakapotia akili in the future. Wamesharidhika na wanaona ni haki yao kuwa na shida
 
Nyie watu! Poverty in Tanzania, is so bad! Ukitembea maeneo ya vijijin,matatzo yako sawa. Tatzo viongoz wanasahau watu wa vijijin! Nenda Arusha mawilayan, nenda Dodoma maporini, Lindi, Mtwara!
 
This is a very good observation.I happen to come from Lushoto. The situation is desperate.Maji ni tatizo kubwa sana hasa kwa vile rains are hard to comeby in those once beautiful Usambara mountains.Katika vijiji kama Malindi,tarafa ya Mlalo, a bucket of water sells at T.sh.200. This is alot of money for those extremely poor people.Lakini ukweli ni kwamba, visima vinaweza kuchimbwa in some areas hasa za mabondeni.Mwaka huu hali itakuwa mbaya zaidi kwa vile water sources zote zimekauka.No, Lushoto pana hitaji marshal plan, hali ni mbaya sana.If nothing is done soon, si ajabu tukaanza kusikia incidences za vifo.

Hawa watu wamesharidhika na maisha hayo na wenyewe wanaona ni haki yao kuwa na dhiki kama hizo. Ni CCM damu na huwaambii chochote. Makamba mkubwa akifika huko akianza methali zake basi mweeeee woote wanamsikiliza na kumfuata kama yule The pied piper of Hamelin!!
My take: Waacheni hawa wananchi na maisha yao wenyewe hadi hapo watakapojua haki zao za kimsingi na kuzitekeleza wakati wa uchaguzi....may be till the 2nd coming of Christ! Wenyewe wakishachuma mapeas basi wameridhika.
Otherwise naona mnampigia mbuzi gitaa hapa
 
Nyie watu! Poverty in Tanzania, is so bad! Ukitembea maeneo ya vijijin,matatzo yako sawa. Tatzo viongoz wanasahau watu wa vijijin! Nenda Arusha mawilayan, nenda Dodoma maporini, Lindi, Mtwara!

This is very correct mkubwa, ukweli ni kwamba vijijini kwa kweli hali ya umaskini inatisha jamani, yaani watu wapo wapo tu, wengi wakiamka hawajui hata watakula nn, kilimo ambacho labda kingeweza kuwasaidia, serikali yetu imekitupa mkono. Wabunge wote wakichaguliwa wanakimbilia Kinondoni! . Kwa kweli ni jambo la kusikitisha, something surely must be done, sio Lushoto tu, hii ni kwa karibu nchi nzima.
 
This is very correct mkubwa, ukweli ni kwamba vijijini kwa kweli hali ya umaskini inatisha jamani, yaani watu wapo wapo tu, wengi wakiamka hawajui hata watakula nn, kilimo ambacho labda kingeweza kuwasaidia, serikali yetu imekitupa mkono. Wabunge wote wakichaguliwa wanakimbilia Kinondoni! . Kwa kweli ni jambo la kusikitisha, something surely must be done, sio Lushoto tu, hii ni kwa karibu nchi nzima.

Na huko vijijini CCM ndio huwa inazoa 99% ya kura wakati wa uchaguzi. So mimi binafsi siwaonei huruma na waache wasote hadi watakapotia akili:coffee:
 
Na huko vijijini CCM ndio huwa inazoa 99% ya kura wakati wa uchaguzi. So mimi binafsi siwaonei huruma na waache wasote hadi watakapotia akili<img src="images/smilies/coffee.gif" border="0" alt="" title="Coffee" smilieid="47" class="inlineimg" />
<br />
<br />

Tafakari vema, si vema kushangilia mtu ktk shida alizofungiwa, ni vema tukaendelea kuwaelimisha hao ndg zetu. Mtaji wa wana siasa wetu ni kuwaacha watu ktk lindi lao la ujinga. Wakati wa kupiga kura wanaambiwa tu usiwachague wapinzani utaleta vita, hiyo peke yake inatosha kumfanya mtu asitumiye busara yake ktk kutenda.
Kumbuka kampeni za uchaguzi ulopita, mzee aliyekoa Magogoni aliitoa hii mara kibao akidai kuwa watasababisha machafuko na kukimbilia Ulaya- unategemea nini ktk hili. Tushiriki kuleta mabadiliko na siyo kuwa kikwazo ktk hili
 
<br />
<br />

Tafakari vema, si vema kushangilia mtu ktk shida alizofungiwa, ni vema tukaendelea kuwaelimisha hao ndg zetu. Mtaji wa wana siasa wetu ni kuwaacha watu ktk lindi lao la ujinga. Wakati wa kupiga kura wanaambiwa tu usiwachague wapinzani utaleta vita, hiyo peke yake inatosha kumfanya mtu asitumiye busara yake ktk kutenda.
Kumbuka kampeni za uchaguzi ulopita, mzee aliyekoa Magogoni aliitoa hii mara kibao akidai kuwa watasababisha machafuko na kukimbilia Ulaya- unategemea nini ktk hili. Tushiriki kuleta mabadiliko na siyo kuwa kikwazo ktk hili

Mkuu nimeshatafakari na nimeshajaribu kuwaelimisha watu esp. wa huko vijijini watumie haki zao za kimsingi ili kuifanya serikali na viongozi wao kuwa accountable na responsible, lakini nimeshabwaga manyanga sababu ni kama kumfundisha paka kuimba pambio. Kataa kubali lakini ujue asilimia kubwa ya watu wa Lushoto, na vijijini kote bongo wamesharidhika na maisha walionayo, na kibaya ni pale wanapoona ni haki yao kula msoto. Hivyo wacha washike adabu.:coffee:
 
Back
Top Bottom