ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Simuelewi kabisa muongoza viziwi pale chini wanamuelewa kweli ?
Na hutomuelewa mpaka nawe uwe kiziwi. Acheni kufuru kwa walemavu kama Mungu amewaumba kikamilifuSimuelewi kabisa muongoza viziwi pale chini wanamuelewa kweli ?
Acha uchuro mbona juzi airport hamkuvaaNatoa wito kwa wananchi watakaojitokeza kujihadhari na Corona kwa kuvaa barakoa
Ndio hivyo tena yatima anatia huruma kweliAisee!
Ila naona kama vile haogopi kusema au yupo huru sasa baada mbeleko kuchanikaHahah kama amesema hivyo atakua ameanza kuirithi kazi ya Mkapa kwa ueledi kabisa ile ya 'kumfunga Paka Kengele',hahah.
How do you we didn’t do that!?
Ina maana mpaka sasa haujawaona? Haya angalia sasa wanaweka mashada hao watoto wake wawiliMzee hana watoto ??
SUBIRI KIDOGO
Andika kiswahili tu kwanza lugha yenyewe ya malkia hauijui
Kwanini hamku wa advice wale walioenda kumpokea Lissu kuvaa barakoa? Au wao corona haiwapati?
Nilikuwepo eneo la uwanja wa ndege Lissu alipofika kwahiyo niliwaona, wakiongozwa na Mbowe ambae hakuvaa, Lissu mwenyewe aliivaa kidevuniHow do you know we didn’t do that!?
Nilikuwepo eneo la uwanja wa ndege Lissu alipofika kwahiyo niliwaona, wakiongozwa na Mbowe ambae hakuvaa, Lissu mwenyewe aliivaa kidevuni
Is it true?alikuwa anaishi na mwanamke wa kizungu Lushoto.