Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,593
- 52,286
Mbona ukishindwa kumshauri hivyo Mbowe ili awaambie wafuasi wake?Natoa wito kwa wananchi watakaojitokeza kujihadhari na Corona kwa kuvaa barakoa
Huko aliko anaulizwa: 'Kwanini uliwaita wanadamu wenzako kuwa ni wapumbavu na malofa?'
Mbona unabadili swali ZWAZWA wewe!!!? JIONGEZE!
Kichwa panzi wewe
Wewe sudhani kama hata hiyo 19 yrs utaifikisha kwa chuki ulizonazo!Na yeye ndio anaenda ardhini sasa, after 19 years alichozidi ni kuvimba kama nyangumi tu na lisura limekuwa kama kasa.
Sasa muekeeni taifa pale linuke kama mzoga wa mbwa Baadae mkalifukie.
MuandikoHivi huwa wanaandika nini kwenye lile daftari?
Msalimie mvuta bangi mwenzioHamna jipya
Jikite kwenye madaMsalimie mvuta bangi mwenzio
Muulize aliwapa majibu gani walivomlalamikia kero ya mgao wa umeme?MATAGA Hotuba ya @jmkikwete
- Wananchi walisikilizwe na kupewa majibu ya changamoto...
WamekwishasemaNi afadhali Mkapa alikuwa mtu mwenye kuruhusu maandamano na demokrasia, siku hizi andamana uone. Sijui huyu akifa watu watasema nini kuhusu mchango wake kwenye demokrasia ya taifa letu.
Ila covid nyie iacheni tu. Ilichotufanyia March 17 mwaka huu ni cha kuandikwa kwa wino wa dhahabuMbona ukishindwa kumshauri hivyo Mbowe ili awaambie wafuasi wake?
Kabisa mkuu!Ila covid nyie iacheni tu. Ilichotufanyia March 17 mwaka huu ni cha kuandikwa kwa wino wa dhahabu