Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Amewasili tayari
Kweli maana hao jana awakuwepo kabisa na hicho kiti kilikua ni nanili basiNyie mnashangaa nini huku jana alishatimiza wajibu wake!
Alikuwa wapi?mbona kama anajistukia hivi?
Wanaweza kuwaacha waage hata siku mbili, kule ndio kwao.Mimi hapa najiuliza watazika jioni sana. Yaani too sad wameshindwa kwenda na ratiba. Hawa wanaoaga kwa nini hawakuaga jana ?
alikuwa wapi au ilikuwa kutafuta attention...Amefika mtukufu rais Magufuli.
Jana nafikiri muda ulikuwa mchache sana maana baada ya kufika Masasi alipelekwa kwanza kanisani kwake kukawa na misa..so kuaga walianza leo alfajiri, but hawa wote wanaoaga sasa wameipata hii nafasi kwa sababu ya kuchelewa kufika kwa JPM, wanavuta muda.Mimi hapa najiuliza watazika jioni sana. Yaani too sad wameshindwa kwenda na ratiba. Hawa wanaoaga kwa nini hawakuaga jana ?
Hiki kiti chenye wekundu huwa anakalia wakati gani? Nimezoea kile kama alichokalia Shein.
Labda kwenye kioo chao wameona kimbunga kama kile cha kule Ruangwa. Si ni maeneo ya huko huko umachingani pia?Kabisa lkn mpaka sasa kimya hakuna anayesema lolote.
Ni masaa mawili yamepita tangu mc aseme rais ataingia muda wowote
Wapiga ramli hao. Kila wakati wanamuombea mabaya JPMTingatinga ndani ta Lupaso, poleni BAVICHA, Poleni JamiiForums kwa kumtakia mabaya.
Jembe limetulia tulii. Linasubiri Oktoba limlime yule mbelgiji na yule Membe
Hata sijuiHiki kiti chenye wekundu huwa anakalia wakati gani? Nimezoea kile kama alichokalia Shein.
Acha ufala eti mtukufuAmefika mtukufu rais Magufuli.
Amina Amina. Mungu wetu wa mbinguni amlinde na amuwezeshe.Maombi na dua zetu kwa Mungu ili Rais JPM awe na afya njema na aweze kutimiza majukumu yake kwa Watanzania katika nafasi yake ya Uongozi wa nchi.
Mkono wa Mungu alie juu uendelee kutupa amani na utengamano wakati wote wa msiba na baada ya msiba.
Mungu yuko nasi, Watanzania