chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,334
- 1,318
Kesi iishe akachukue fomu, nae apendelee kaskz, maana ndio mpango mzima, mtu kwao, sasa sitashangaa tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mtazamajiNa wewe ni Bavicha😅😅
Wenye akili na uelewa ni wepi? na unawatambuaje?Kwa mujibu wa wenye akili na uelewa, ila kwa wenye akili 'duni' ni ngumu kujua hili.
Kwa mujibu wako, ungependa Mbowe asapotiwe na wachaga kwanza, sio?Pole kijana mdogo wewe katika yooote akiliyako imefanikiwa kuona hapo tuu!!!
Nikusaidie tu kdogo,popote duniani
* Charity begins at home.
Bora usalitiwe nawote lakini sio na watu wa nyumbani kwako(origin).
Tumia akili vizuri utanielewaKwa mujibu wako, ungependa Mbowe asapotiwe na wachaga kwanza, sio?
Zitto na waha?
Lipumba na wanyamwezi?
Samia na wapemba?
Na wakienda kinyume nao ni usaliti?
Charity begins at home.Tumia akili vizuri utanielewa
Kawaulize wazee wa uamsho wa zenji kwanini wameachiwa kwa kesi yao ya ugaidi awamu ya sita yamzenji alafu urudi nahiki kiswali chako!!Charity begins at home.
Bora usalitiwe nawote lakini sio na watu wa nyumbani kwako(orig
Elezea hiki kifungu.
Tuachane kwanza na tunachojadili ili niende kuwauliza wazenji?Kawaulize wazee wa uamsho wa zenji kwanini wameachiwa kwa kesi yao ya ugaidi awamu ya sita yamzenji alafu urudi nahiki kiswali chako!!