Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Katika hali isiyo ya kawaida,makada hawa mpaka sasa hakuna hata mmoja aliejitokeza kujibu alichosema Lissu tofauti kabisa na tabia yao hasa pale mwenyekiti wao anapuguswa.
Bila shaka wanalazimika kujipa muda wa kujipanga kujibu mashambuli maana maji yamezidi unga.
Ole wao wai-handle vibaya hii issue ndio itazidi kuwamaliza na hata kwenye media itaripotiwa.
Mnaleta ugomvi wa mawe wakati mnaishi kwenye nyumba ya vioo!!!!
Mkome!
Na bila shaka sasa mtakuwa na adabu na kuacha kuropokaropoka wakati mnasitiriwa.
Bila shaka wanalazimika kujipa muda wa kujipanga kujibu mashambuli maana maji yamezidi unga.
Ole wao wai-handle vibaya hii issue ndio itazidi kuwamaliza na hata kwenye media itaripotiwa.
Mnaleta ugomvi wa mawe wakati mnaishi kwenye nyumba ya vioo!!!!
Mkome!
Na bila shaka sasa mtakuwa na adabu na kuacha kuropokaropoka wakati mnasitiriwa.