Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 819
- 1,079
Kuna habari zinazosemekana kuwa mzee Makamba na Abdulrahman Kinana (makatibu wakuu wa zamani CCM) wanaweza kuhojiwa na kamati ya maadili CCM leo hii jumatatu ya tarehe 10 February, 2020.
Hii ni baada ya wazee hao wakongwe wa chama hicho kuwachomesha mahindi wajumbe wa kamati ya maadili kwa siku mbili mfulizo (ijumaa na j'mosi) ambao walikaa kuanzia asubuhi mpaka jioni kuwasubiri bila ya mafanikio.
------------ ----------- ------------ ------------ -------
UPDATE
Makatibu wakuu wastaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuf Makamba na Abdulrahaman Kinana wamefika mbele ya kamati ndogo ya Usalama na Maadili katika ofisi ndogo za CCM Lumumba Jijini, Dar
Hii ni baada ya wazee hao wakongwe wa chama hicho kuwachomesha mahindi wajumbe wa kamati ya maadili kwa siku mbili mfulizo (ijumaa na j'mosi) ambao walikaa kuanzia asubuhi mpaka jioni kuwasubiri bila ya mafanikio.
------------ ----------- ------------ ------------ -------
UPDATE
Makatibu wakuu wastaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuf Makamba na Abdulrahaman Kinana wamefika mbele ya kamati ndogo ya Usalama na Maadili katika ofisi ndogo za CCM Lumumba Jijini, Dar