Lumumba, Dar: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM imetoa siku 7 kwa Kamati yake ndogo kuwasilisha taarifa ya mahojiano ya Membe, Makamba na Kinana

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wadau,

Kamati Kuu ya Halmashauri ya Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi inakutana leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

1.jpg

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli akipokelewa na Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally

1.jpg

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ndg Ali Mohamed Shein akipokelewa na Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally

1.jpg

Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimuongoza Mjumbe wa Kamati Kuu na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu


1.jpg

Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimpokea Ndg Kassim Majaliwa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
*****

Nimepita maeneo ya Lumumba muda huu naona shughuli zimekuwa nyingi sana!
Hata barabara inayokatiza mbele ya Lumumba imefungwa kwa muda.

Tusubiri Yatakayojiri!

YALIYOJIRI:
Kamati ya Usalama na Maadili imepewa Siku 7 kukamilisha na kukabidhi Taarifa Ya Mahojiano Yaliyofanywa na Viongozi Wastaafu Wa CCM hivi karibuni.

242728AB-0D51-4D73-B377-61AC9258B115.jpeg

8284BBCA-2C3F-41E5-AC28-8C5C78235545.jpeg
 
Kile chama kikuu cha upinzani kinachosubiria mgombea wa urais kinafuatilia kwa makini juu ya maamuzi yatakayofikiwa kuwahusu wale " Wana wa ngurumo"

Kiuhakika kama Membe atavumiliwa na kuendelea kubakia CCM basi litakuwa pigo kubwa sana kwa Chadema.

Kiukweli tunayasubiri kwa hamu kubwa maamuzi ya kihistoria ya chama chetu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hiki kikao kiliahirishwa ilikuwa kifanyike jumatatu naona Kinana na Makamba walichafua sana hewa.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom