Lulu na Young D wafumwa live wakibanjuka ndani ya gari

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,375
Wasanii hao walibambwa Live wakifanya mchezo mbaya au uzinzi ndani ya gari la mwigizaji lulu usiku mnene maeneo ya Mbezi beach, askari waliokuwa wakifanya doria waliwabamba live ambapo wasanii hao waliomba wayaongee pembeni ili siri isifuje kwa raia. LULU alipopigiwa simu kujibu mashtaka hayo alikata simu haraka haraka



SOURCE:GOSSIP COP-SOUDY BROWN-CLOUDS FM
 
Wasanii hao walibambwa Live wakifanya mchezo mbaya au uzinzi ndani ya gari la mwigizaji lulu usiku mnene maeneo ya Mbezi beach, askari waliokuwa wakifanya doria waliwabamba live ambapo wasanii hao waliomba wayaongee pembeni ili siri isifuje kwa raia. LULU alipopigiwa simu kujibu mashtaka hayo alikata simu haraka haraka



SOURCE:GOSSIP COP-SOUDY BROWN-CLOUDS FM

Hebu tuondolee upuuzi wako huu, peleka kwa Shigongo.
 
Wasanii hao walibambwa Live wakifanya mchezo mbaya au uzinzi ndani ya gari la mwigizaji lulu usiku mnene maeneo ya Mbezi beach, askari waliokuwa wakifanya doria waliwabamba live ambapo wasanii hao waliomba wayaongee pembeni ili siri isifuje kwa raia. LULU alipopigiwa simu kujibu mashtaka hayo alikata simu haraka haraka



SOURCE:GOSSIP COP-SOUDY BROWN-CLOUDS FM

cha ajabu ni nini kwani young dee hawezi kumwinamisha lulu, kiukweli hii thread inakera!
 
Ukisikia Lulu basi ujuwe ni yuleyule wa Capten Komba ambaye miaka yake ya kuzaliwa inaenda mbele na kupiga revasi.
Kuna huyo aunty Lulu naye wanamwita hivyo hivyo.Kuna thread ikimuhusu yeye na jamaa anayeitwa Bond mwenye michezo mibaya binti akilalamika.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom